Ajira: Mwika Milk Company

Ajira: Mwika Milk Company

mwika

Member
Joined
Apr 5, 2012
Posts
47
Reaction score
27
Tunatafuta wadada wa kusambaza maziwa ya fresh na mtindi kwa wateja wetu .

Sifa za mwombaji
Awe anajua kusoma na kuandika .
Awe anajua kuhesabu .
Awe mwaminifu.

Maeneo yetu ya kazi ni kariakoo na mawasiliano

Mshahara kwa mwezi ni 150,000/=

Jitihada zako ndo zitaongeza kipato chako

Mawasiliano:

0714574319
0765758624
 
Tunatafuta wadada wa kusambaza maziwa ya fresh na mtindi kwa wateja wetu .

Sifa za mwombaji
Awe anajua kusoma na kuandika .
Awe anajua kuhesabu .
Awe mwaminifu.

Maeneo yetu ya kazi ni kariakoo na mawasiliano

Mshahara kwa mwezi ni 150,000/=

Jitihada zako ndo zitaongeza kipato chako

Mawasiliano:

0714574319
0765758624
Hao wateja wapo tayari ni kuwapelekea tyu au ndo kubeba maziwa na kuanza kutafuta mwenyewe wateja na mda wa kazi ni sangap adi sa ngapi???
 
Back
Top Bottom