KERO Ajira Mpya Mtama DC hatujalipwa fedha za kujikimu na hatujui tutalipwa lini

KERO Ajira Mpya Mtama DC hatujalipwa fedha za kujikimu na hatujui tutalipwa lini

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua
A

Anonymous

Guest
Ajira Mpya Mtama DC Mkoani Lindi bado hatujalipwa pesa za kujikimu na hatujui tunalipwa lini na hamna taarifa yoyote kuhusu hizo pesa tunalipwa lini.

Kwa kweli tunapata shida sana.

Naomba kuwasilisha hiyo kero yangu mkuu.
 
Ajira Mpya Mtama DC Mkoani Lindi bado hatujalipwa pesa za kujikimu na hatujui tunalipwa lini na hamna taarifa yoyote kuhusu hizo pesa tunalipwa lini.

Kwa kweli tunapata shida sana.

Naomba kuwasilisha hiyo kero yangu mkuu.
Kwani Nape yeye anasemaje labda!? Huyo mbunge wenu haramu! wa hapo!
 
Vijana wa hovyo kama wewe hamfai kwenye utumishi wa umma.
Serikali siku hizi vetting inafanya kwa baadhi ya idara na kada fulani tu. Wanapuuza watu wa kada za chini na baadhi ya taasisi na watumishi wa local government.
 
Hivi Mtama ni Wilaya au Halmashauri tu ndani ya wilaya ya Lindi..?
Mkuu ndio umepangiwa kule Naukauka na Nape..😁
 
Ni raisi kwa Ngamia kupita Tundu la Sindano, kuliko wewe kulipwa hizo pesa za kujikimu.

Halmashauri 3 : 21-22.
 
Back
Top Bottom