Kama ilivyo kwisha tangazwa kuwa ajira zimepungunzwa 50%,watumishi watakaoajiliwa ni kama ifuatavyoolisi(1,351),Magereza(485),Wizara ya Elimu(417),Kilimo(294),Jamii,Jansia na Watoto(247),Maliasili(152) na kurugenzi ya makosa ya jinai(111)..... Source: MwanaHALISI 14 Dec.2011