serio
JF-Expert Member
- Apr 15, 2011
- 7,306
- 4,681
Kuna mama anatengeneza sambusa maeneo ya Ubungo. Anatafuta kijana wa kutembeza na kuuza sambusa hizo.
Muuzaji atapata shilingi 100 kwa kila sambusa atayo iuza. Kwahiyo akiuza sambusa 200 kwa siku atakuwa na 20,000/- per day.
Kijana awe mwaminifu, mchapa kazi na kama anaishi maeneo ya Ubungo itakuwa added advantage.
Kama uko tayari au unakijna unayejua anaweza kufanya kazi hii naomba uni PM.
Muuzaji atapata shilingi 100 kwa kila sambusa atayo iuza. Kwahiyo akiuza sambusa 200 kwa siku atakuwa na 20,000/- per day.
Kijana awe mwaminifu, mchapa kazi na kama anaishi maeneo ya Ubungo itakuwa added advantage.
Kama uko tayari au unakijna unayejua anaweza kufanya kazi hii naomba uni PM.