Aje Remix Official Video

Aje Remix Official Video

Kiba sio mbunifu na hajui kujituma kufanya kitu kizur.... Nilikua napenda kaz zake ila tangia waje akinq fulani naona ubunifu na kujituma zaid kwao. Kiba badilika bro
Anapiga World tour alafu we unasema ajitumi ulitaka abebe Gari yake kichwani na kutembea nayo mjini ndio uone anajituma?!
 
hii video nlikua sijaielewa ila ninavyozidi kuiangalia naanza kuielewa ni bonge moja la video na limejaa creativity, big up kwa director sema watu wengi tunapenda kuona videos zenye magari na mapochopocho kibao ila huu mkideo bana unaendana ma ma kideo kama lile la Drake Hotline halina mbwembwe ila lilibamba na mengine mengi. wacha tuone mwisho wake
 
Anapiga World tour alafu we unasema ajitumi ulitaka abebe Gari yake kichwani na kutembea nayo mjini ndio uone anajituma?!
World tour? Ile anaenda kufanya USA na ommy dimpoz? Hahahaha
 

Attachments

  • alikiba5.jpg
    alikiba5.jpg
    52.3 KB · Views: 29
  • proxy-5.jpeg
    proxy-5.jpeg
    21.7 KB · Views: 31
Ona mambo hayo?!

Alafu kalia kisema hivyo hivyo ajitumi.
Hahaha iyo ya south Africa akifanya atupostie video na pics
Unawajua wasauzi au unawasikia?
Hiyo anaenda kuwaimbia watanzania wanaoishi sauzi kwenye club kama getto , waulize sauti Sol wakwambie wasauzi walichowafanyia
 
Hahaha iyo ya south Africa akifanya atupostie video na pics
Unawajua wasauzi au unawasikia?
Hiyo anaenda kuwaimbia watanzania wanaoishi sauzi kwenye club kama getto , waulize sauti Sol wakwambie wasauzi walichowafanyia
Wasouth ndio walivyo...Nawajua kuliko unavyodhani.

Hata show ya Wizkid zaidi ya 80% watakao enda ni wapopo labda na mademu zao wa ki-south so hilo sio jambo la ajabu.

Hayo mengine tutaongea baada Tour.
 
Wasouth ndio walivyo...Nawajua kuliko unavyodhani.

Hata show ya Wizkid zaidi ya 80% watakao enda ni wapopo labda na mademu zao wa ki-south so hilo sio jambo la ajabu.

Hayo mengine tutaongea baada Tour.
Hawaendi kwa vile hawana pesa au hawaendi kwa vile mpiga show ni mgeni, ila ticket si zimeshauzwa
 
Kidoti umepaniki mwenyewe, ungebaki kwa Chibu unafikiri ungeshuudia video ya kutisha namna hii ambayo basha'ko anaruka ruka kama anacheza ngoma ya MGANDA.
Ukizeeka usipokuwa mchawi utakuwa mganga.
 
Hii video kali sana, imefanywa katika professional kubwa akili ndogo kama nywele za fidodido haziwezi kuelewa go kiba,
wabongo wanataka video iwe na msinki ya bafuni na gari la rolls royce
 
Alikiba yupo tofauti....kama ushazoe video zilezile zenye magari ya kifahari ,majumba na wanawake waliovaa bikini na kutingisha makalio huwez kumuelewa...
Video nzuri sanaa...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom