Aje Remix Official Video

Aje Remix Official Video

Mkuu nataman niwe nao kwenye simu niwe nauangalia... Ntauchukuaje apa
sijiu unatumia browser gani!
Ila fanya hivi uclick kama una play! ukishaanza kuplay pale juu ya hiyo video zitatokea "url" zinaanza na http//m.......
Futa hiyo "m" weka "www" then "nukta" halafu ongeza "ss" then zile herufi zinazoendelea

Utaipata kiurahisi
 
sijiu unatumia browser gani!
Ila fanya hivi uclick kama una play! ukishaanza kuplay pale juu ya hiyo video zitatokea "url" zinaanza na http//m.......
Futa hiyo "m" weka "www" then "nukta" halafu ongeza "ss" then zile herufi zinazoendelea
mwisho bonyeza "search"

Utaipata kiurahisi
 
Kitu nilichogunduwa huu uzi umekuwa commented sana na watu wa upande wa pili kuliko sisi mashabiki wenyewe wa kiba...na nilicho kiona Mfalme Kiba hatumii nguvu nyingi kwenye video lakini kitu kikitoka kinakuwa kikali kikubwa tumechoka kila video ikitoka tuono majumba mazuri,maswiming pool, magali makali na mi nini mingine sijuwi kikubwa tunataka tuone kitu kingine ambacho wasanii wengine hawafanyi ambacho ndio kiba anafanya. Video imeshutiwa usiku asilimia kubwa lakini ukiangalia kama kweli mziki unaujuwa kuna kitu unajifunza na kuna vitu vinakuvutia na vina kufanya uangalie zaidi ya mara mbili Kiba anafanya vitu beyond of our Imagination that iz how msanii unatakiwa kuwa sio kila siku ushuti na magali,sijuwi majumba makali,maswiming tumeshazichoka video za hivyo, na nakuhakikishiyeni hii video itachukuwa tuzo nyingi tu...

Time will tell...

By

Number 1 fan of Mfalme
 
msanii mbunifu ni yule ambae anafanya kitu kilicho tofauti na mawazo ya mashabiki.

Sio yule mwingine ukisikia katoa video unajua kabisa kuna magari ya kifahari,Maghorofa,Majumba mazuri na mipasho kati kati ya video.

Huku mambo yote tofauti...ulichotegemea Sio unachokikuta.Huo ndio unaitwa ubunifu.

Mliiponda Aje ikabeba 15+ tuzo na hii itazibeba za kutosha tu.
 
sijiu unatumia browser gani!
Ila fanya hivi uclick kama una play! ukishaanza kuplay pale juu ya hiyo video zitatokea "url" zinaanza na http//m.......
Futa hiyo "m" weka "www" then "nukta" halafu ongeza "ss" then zile herufi zinazoendelea

Utaipata kiurahisi
Sawa mkuu
 
msanii mbunifu ni yule ambae anafanya kitu kilicho tofauti na mawazo ya mashabiki.

Sio yule mwingine ukisikia katoa video unajua kabisa kuna magari ya kifahari,Maghorofa,Majumba mazuri na mipasho kati kati ya video.

Huku mambo yote tofauti...ulichotegemea Sio unachokikuta.Huo ndio unaitwa ubunifu.

Mliiponda Aje ikabeba 15+ tuzo na hii itazibeba za kutosha tu.
Hayo nimeyaongea hapo juu mkuu na nimewaambia kitu anachokifanya King Kiba wengine hawawezi kukifanya na sio kukifanya tu wala kufikilia hawawezi that'z how we call him king iz due to his creativity...kwenye hii nyimbo nimependa vitu vingi sana ila huyu director kaja kunimaliza kwenye taa na rangi zilizopo na jinsi zinavyo badilika na sio rangi tu bali ni rangi nzuri zinazovutia kuangalia...

Big up king keep going tupo nyuma yako
 
Utasema utumbo
lakini ukweli ndio huo
msanii hana ubunifu wowote wewe unaona sawa
!!
Ubunifu ujauona?!

Labda unazungumzia ubunifu wa magari na maghorofa kama ulivyozea kwenye video za Madale
 
Hayo nimeyaongea hapo juu mkuu na nimewaambia kitu anachokifanya King Kiba wengine hawawezi kukifanya na sio kukifanya tu wala kufikilia hawawezi that'z how we call him king iz due to his creativity...kwenye hii nyimbo nimependa vitu vingi sana ila huyu director kaja kunimaliza kwenye taa na rangi zilizopo na jinsi zinavyo badilika na sio rangi tu bali ni rangi nzuri zinazovutia kuangalia...

Big up king keep going tupo nyuma yako
a watu wa Madale hawawezi kuona namna hiyo.

Ed Sheeran kwenye wimbo wa Thinking out Louder alifanya video ya namna hii dunia nzima ikasifia Leo Ali kafanya kitu kinachofanana na kile na tena kaongeza mpaka ubunifu wa taa bado wanasema sio mbunifu.

Wasubirie Award zitakazomiminika.
 
Sincerely speaking nilijua hiyo video ni behind the scenes tu, yenyewe ingekuja Kumbe ndio amemaliza.
 
Msimtengee Kueni Wavumilivu.....Sidhani kama Hili ni Tatizo la Management what i see ni kuwa kiba Sio mbunifu at all! Ni majivuno na kujiona anajua ndio sababu ya kutotaka kuupokea ushauri wowote unaoenda kwake? Mashabiki wa kweli wa Ali Kiba toka Lini wametoka wakimshauri kubadilika juu y video anazo zifanya Lakini kila siku amekuwa akidrop?

Hapa thamani ya Bifu lake na Diamond ndo linaonekana Sitashngaa kuona hii video Ina views Wengi sana Youtube.....Coz watu watataka kuangalia uupuzi alio Fanya na watacompare na Diamond japo now Diamond anatafuta views 3M kwenye Vevo ila hii Aje Remix itakuja kwa kasi kutokana na Watu kutaka kujua nn kipo ndani ya Lakini sio kwa sababu ya Video ni nzuri

Ali Kiba Hadi Video inavuja???
I will marry u ina ubunifu gani?!

au lile gari nyumba na lile bango linalobadilka kutoka Hollywood to Bongo Land ndio umeona ubunifu?!
 
AliKiba ana gubu sana, Mwinyi na anapenda sana kunyenyekewa kuliko kujishusha - Unaweza kukuta walishakosana!
Hizi akili za kitanzania ndio zinazofanya tuwe nchi maskini.

Makaburu wanakuja Hapa tunajishusha na kuwanyenyekea wanabeba dhahabu zetu na kwenda.

Wachina wamejaza kule Nangwanda sijaona wanavuna gesi yetu tu wengine wanachoma mahindi kariakoo tunawanyenyekea tu.

Wazungu ndio wanazidi kutuachia mashimo tu wakibeba madini yetu alafu we unasema tuwanyenyekee alafu mnailaumu serikali kwa umaskini wenu eboooo
 
Mie sijaelewa umuhimu wa hii aje remix ! Coz video ya kwanza MI hayupo hii nayo Yale Yale sasa swali la mwisho remix mabadiliko yapo wapo Ni video Au beats nini dhumuni ya remix
We kweli umevurugwa.

We unavyoona video ya Kwanza na hii ya mbili zipo sawa?!

Au ulitaka mabadiliko uone mwanaume anazaa mule?!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom