Ndugu yangu Nisher anatakiwa ajifunze kupitia hii video, director anajua kucheza na taa, macho hayaumi, kuhusu audio nyimbo ni ile ile asilimia 80, mabadiliko asilimia 20 but I like it
duuuuu haya bhana king kiba nimesubiria kwa hamu huu wimbo ili atleast unipunguzie machungu na hasira ya firauni ASENO WENGER af unaniletea utani huuuu
mimi pia nahisi hivyo, ila ukiingia youtube VEVO a/c ya kiba ndo kunahiyo na kasema n official music video ngoja tusubiri tuona make haiwezekani M.I asiwepo tene kwenye video
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.