usatrumpjr
JF-Expert Member
- Jan 21, 2017
- 2,237
- 2,900
Utumbo km wa makonda-kta
Jamani watu mna dharau!Ila litakua tangazo nyimbo bado
Hii video kali sana, imefanywa katika professional kubwa akili ndogo kama nywele za fidodido haziwezi kuelewa go kiba,
Sony music wameshindwa hata kumlipa M.I aonekane kwenye video?We unaonajeJamani watu mna dharau!
Ngoja nikaianglie kwanzaWe unaonaje
Umenichekesha mkuu, huyu jamaa nlikua namkubali kweli ila upendo wangu kwake umeshafubaa siku nyingi si kwa maujinga haya make hawezagi hata kujiongeza, video mbovu unaileta tena uliyemshirikisha hayupo kwa mara ya pili sasa angekua ni Timbulo tungesema labda alikosa pesa ya kumfuata au kumsafilisha M.I ili wafanye videoKwanza hii ni Official Video angalia Account yake insta link aliyotoa! KWA MARA nyingine tena MI hayupo labda sijui makubariano yao....Ila duuuuuu Hakuna kitu kinaboa Kama kumsubiri mtu usie mfahamu hasa wa kike halafu akija unaona Sura mbayaaaaaa afadhar ya yule ulie muachana home
Kama kuwa na akili kubwa ndo kuuona huu utumbo uliooza ni mzuri basi wacha mimi niwe na akili ndogo. Bado siamini hii ndo video aliyotusubirisha wacha niisubiri tuu labda itakujaHii video kali sana, imefanywa katika professional kubwa akili ndogo kama nywele za fidodido haziwezi kuelewa go kiba,
Dah!! Kua uyaone umetisha mkuuAje remix video
![]()
Msimtengee Kueni Wavumilivu.....Sidhani kama Hili ni Tatizo la Management what i see ni kuwa kiba Sio mbunifu at all! Ni majivuno na kujiona anajua ndio sababu ya kutotaka kuupokea ushauri wowote unaoenda kwake? Mashabiki wa kweli wa Ali Kiba toka Lini wametoka wakimshauri kubadilika juu y video anazo zifanya Lakini kila siku amekuwa akidrop?Nakupenda ali kiba napenda nyimbo zako,nakumbuka kwa mara ya kwanza nakusikia ktk nyimbo ya abby skilliz maria nilikukubali sanaa,ila nimechoka kua mnafiki na kukukingia kifua kwa ajili ya mapenzi yangu kwako,nadhani tukikuambia ukweli unaweza badilika,kwa hii video ni heri ungetoa ata video yako ukiwa upo uwanjani unafanya mambo yako yaani ukiwa na muheza unapiga ball lakini kwa hii umetuangusha mashabiki wako kwa kiwango cha p.h.d. why utufanyie haya nahisi unatuhujumu?