MNYISANZU
JF-Expert Member
- Oct 21, 2011
- 7,048
- 1,102
Nimetoka kushuhudia ajari mbaya ambapo mtu mmoja amegongwa na pick up ikitokea ubungo mataa kwa kasi imemgonga na kichwa kupasuka ubongo kusambaa tapatapa barabarani" bahati nzuri kulikuwepo na trafick mmoja akiwa na pikipik na kuikimbiza gari iliyohusika! itc too painfull kiukweli" binafs najiuliza kulikoni eneo hili mara kwa mara hutokea ajali mbaya sana. Source mi mwenyewe nipo maeneo haya