GAUTAMA
JF-Expert Member
- Aug 5, 2014
- 1,117
- 697
GAUTAMA hujui uongealo,Bodaboda ni careless! Sipandi bodaboda kabisa maana nawajua jamaa ni vilaza hawakawii kukuingiza uvunguni mwa Scania!
Ni kweli Mkuu sijui niongealo, lakini hujajibu hoja yangu hata moja kiasi cha kuja na generalization,
Ajali imetokeaje? actually wote hatujui kati ya mzungu na hao madereva nani ana makosa....
Ukiiangalia picha kwa makini waliokuwepo pale si wote walikua bodaboda, na hata mleta mada amesema waliochoma gari ni WANANCHI,
Mzungu anaweza kua alikua ana makosa! unakataa? wonderful!...... amepiga risasi hewani amefaulisha mizigo yake kwenye gari nyingine akatembea anawaachia a black corpse kwa ajili ya mazishi.....
Katika Ignorant Society kama hii ya kwetu uamuzi wa haraka ilikua ni kupata mob satsfaction, nayo ni kuchoma gari hilo ......la bima ni geni kwa sisi masikini, na kwa sababu tunaamini hangechukuliwa hatua huyo mzungu then what could we do? na tunaliona gari la thamani Choma moto, hata Fergeson wanachoma moto the same!.....
Kwa hiyo Mkuu Hata kama wewe hupandi Bodaboda, wapo wanaopanda! wengi sana, hata mimi.....wapi bodaboda wapuuzi, wapo wastaarabu, tunaishi nao mtaani...
Last edited by a moderator: