Dena Amsi
R I P
- Aug 17, 2010
- 13,080
- 4,275
- Thread starter
- #21
Last edited by a moderator:
Walivojaa wampige mzungu kapiga risasi juu wakasambaa kaita gari nyingine kafaulisha vitu vyake ndani kasepa bodaboda acha tu
Hawa ndio vijana wa Lowassa na January makamba.POleni wafiwa.
Na pia tukumbuke baadhi ya madereva Bodaboda ni Janga lingine la Taifa.
Tuwe makini kipindi hiki ajali ni nyingi.
MIZAMBWA
INANIUMA SANA!!!
Hakika! Maana sielewi inakuwaje watu wanasahau thamani ya maisha yao kwa kujitoa akili; mwisho wa siku wanakumbwa na umauti na vilema vya maisha wakati wenye magari wanasubiria the next victim if not the next Indyooot!Madereva wa boda boda akili zao wanaziacha nyumbani barabarani huwa wanatumia petrol na viroba kufikiria.........
Raia na hasira bwana,unakimbilia kuchoma gari ukifikiri unamkomoa au ndo njia ya kumalizana na aliyegonga,watu wengine magari yao yana bima kubwa akitoka hapo anaenda kuchukua lingine.Mimi nafikiri hasira hizi tungezielekeza kwenye kudai mambo ya msingi yasiyotimizwa na serikali.
Tunatumia nguvu nyingi kulaumu matokeo huku tukikiacha chanzo kimetulia kama maji ndani ya mtungi.
Boda boda zipo ili kuziba void iliyoachwa kutokana na Uzembe wa serikali ya CCM kushindwa kupanga na kusimamia usafiri mijini.
Bodaboda ni sign ya udhaifu wa kufikiri, siku udhaifu huo ukimeza ujasiri tutakuwa na usafiri wa maana mijini na boda boda wataondoka bila kufukuzwa.
kwanza Bodaboda ni sisi wenyewe, bila wasafiri ambao ni sisi hakuna bodaboda.
Bodaboda hawapakii mazimwi wanatupakia sisi wananchi.
Unawaita bodaboda kama huwatumii, wakikupa ride unakuwa usafiri poa.
Jiulize tumefikafikaje hapa tulipo?
Kwa nini mwaka 2000 tu hapa hatukuwa na Bodaboda?
Bodaboda ni matokeo,chanzo ni nini?