amos nyamambaya
Member
- Oct 21, 2014
- 44
- 5
Ooohhhhh polen sana wale wote mlofikwa na msiba
Dah...mtu unaweza kufikiri umemaliza mwaka 2014 kumbe bado parefu. Chochote kinaweza kutokea hapo katikati
Bodaboda ni reserved jeshi la uasi. One day makubwa yatatokea bongoland.
Hebu tuambie cahanzo cha ajali nini...Maana huenda landcriser ilikuwa haina makosa...Maana boda boda wengi wanakunywa viroba..
kuna umuhimu wa kuwa na bastola barabarani... huyo mzungu kupiga hewani wakatawanyika .. katumia akili sana ... wabongo wengi waoga
Mkuu SAUTI YAKO yaani una nguvu kabisa ya kumtetea mwendesha bodaboda ambaye yeye mwenyewe thamani ya maisha yake haithaminishi sawasawa na wewe ufanyavyo? Hivi umejiuliza iweje wagongwe mkupuo kwa gari moja? Unadhani walifuatwa walipopaki?Nimeona wengi tu humu povu likiwatoka na kulipa gari thamani kuliko roho za watu hawa wa3,v8 sidhani hata kama askari wetu wa barabarani huzisimamisha kuzifanyia ukaguzi hata wa matairi .Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni vijana hawa hawajafa katika ile staili tuloizoea ya wao kujichomeka ,dereva wa gari angekuwa kwenye mwendo wa kawaida ingesaidia.Watanzania pia tupunguze tabia ya kuchukua sheria mkononi.R.i.p bodaboda
Mkuu SAUTI YAKO yaani una nguvu kabisa ya kumtetea mwendesha bodaboda ambaye yeye mwenyewe thamani ya maisha yake haithaminishi sawasawa na wewe ufanyavyo? Hivi umejiuliza iweje wagongwe mkupuo kwa gari moja? Unadhani walifuatwa walipopaki?
Dawa ya hao wapuuzi wa boda boda ni kutembea na "UZI" na Mkanda wake wakizunguka gari tu unaachia kama 50 hivi hewani halafu unaondoka na gari safi kuelekea kituo cha polisi kwa speed ya 40km/h tu hakuna atakayekuja kukufata.