EINSTEIN112
JF-Expert Member
- Oct 26, 2018
- 21,713
- 35,525
- Thread starter
- #221
,Hii gari huenda iliruka bump kwa speed ikapaa usawa wa scania sababu haieleweki Raum inaichakazaje Scania namna hii!?
,Hii gari huenda iliruka bump kwa speed ikapaa usawa wa scania sababu haieleweki Raum inaichakazaje Scania namna hii!?
We unaoneka MCHAGA
Hadi mimi nimeshangaa aisee,R.I.P
asee hiyo horse imechakaa utadhan imegongana na lori jingine
Hilo eneo niliwahi kukata uzi wa tairi ya mbele kufika soweto nikaivua tairi imevimba vimba kama imeng’atwa na nyuki! Mashimbo yakipuuzi sana halafu wajinga wenye ma bus yale ma HINO wanatanua bila kujielewa hovyo hovyo!Kwa gari dogo kama Raum na ubovu wa kile kipande cha lami, huwezi tembea mwendokasi huo uliotaja...
Halafu ni eneo lina kona, milima na miteremko mikali, kama ushawahi sikia Mlima Nyoka...
swagga ni kwa wavulana na wasichana..We unaoneka MCHAGA
PROBABILY HAUNA SWAGA
We nawe mpuuzi tu. Niambie wapi hapa kuna mtu amejifia kwa njia yoyote ile. Na mambo ya uongozi yametoka wapi? Nyie ndo mnaongoza sana? Halaf unadhani kila mtu ni dream yake kusa mwanasiasa? Very stuppid of u.Wachagga ndiyo maana hampewi kuongoza nchi,, mmekaa kibinafsi na kujitenga. Wachache wanajitambua
Ubinafsi unao wewe uliyeanza ona kuna ubinafsi. Kuongelea koo tu mushaburst? Kindly grow up.. mojawapo ya akili za kimaskini ni kama hivi kuwa na inferioritt complex. Kwanini ujishuku muda wote? ByeeAcheni kaubinafc dada. Sina maana wote.
rafiiki yake mboroo ni ,,,swagga ni kwa wavulana na wasichana..
Tulia mboroo
Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
Yaani watu wote tungekuwa na mawazo kama haya dunia ingekuwa fair sanaMaisha yalivo mafupi,huwa nashangaa sana kuona watu wanagombania wanawake,viwanja,mashamba, etc.
Kitu kikubwa unachopaswa kugombania duniani ni afya njema na furaha baasi,ile ya moyoni unaamka unasalimia watu,unakula, unashiba baasi
Ndiyo mkuuErick kafariki?
Hilo eneo niliwahi kukata uzi wa tairi ya mbele kufika soweto nikaivua tairi imevimba vimba kama imeng’atwa na nyuki! Mashimbo yakipuuzi sana halafu wajinga wenye ma bus yale ma HINO wanatanua bila kujielewa hovyo hovyo!