only83
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 5,343
- 2,525
Mkuu MCHOMAMOTO nakupa bigup kinoma, baadhi yetu tumejenga tabia ya kumuhusisha MUNGU na upuuzi wetu,Ajali za kujitakia utasikia Oh Mapenzi ya MUNGU.Ujinga huo unanikera sana , MUNGU wa aina gani Mshenzi kiasi hicho anayetaka Kiumbe wake aliyemuumba kwa mfano wake akampulizia pumzi ya Uhai afe kwa Kuangukiwa na Container lenye tani 50 halafu tuseme ni mapenzi ya MUNGU, naapa MUNGU wa namna hiyo simtaki na nitajenga urafiki na Shetani ambaye hawezi kuua Wanadamu kwa mtindi huo.Lini tutakubali kwamba hizo ni kazi za shetani kupitia kwa washenzi wanaokula rushwa na kutoa Leseni nyuma ya Mlango hata kama Muhusika haja Qualify kupata hiyo Leseni.Lini tutasema Mungu amemjalia Mchomamoto juhudi katika kazi zake hadi ameweza kujenga nyumba na kununua gari, badala yake tutasema Mchomamoto ametumia nguvu za giza kupitia maombi ya Mchungaji fulani kupata pesa zilizomletea maendeleo.Simo kwenye unafiki wenu, RM amechangai kifo chake kwa 100%.Jambo la kujadili hapa ni kuwataka wengine wenye mawazo kama yake Marehemu RM,wasithubutu kurudia alichokifanya kwa kuwa LAZIMA WATAKUFA KWA AJALI na itafika mahali hata kama tunawapenda kiasi gani, kamwe sitawalilia
Naungana na wewe kwenye hoja kuwa ni vema tukawa makini tunapotaka kusema mambo mengi yanayotupata binadamu ni mpango wa Mungu..wakati mwingine ni uzembe na kutojali..mfano wengi tunakufa kwa magonjwa mbalimbali kwasababu ya kula vibaya au kutokuwa na utaratibu mzuri wa kula....ila hapo kwenye red nadhani umepotoka,UMFAHAMU VIZURI SHETANI jaribu uone....