Ajali ya Mh Regia - tuna tatizo

wandugu,nilianzisha thread hapa na watu wakajadili kidogo ila ikafa. Ngoja nirudie nilichotuma wakati huo......


hii ni video maalumu kwa wale wote walioanza kuweka vimaneno vya kishamba humu ndani.

Sintawataja ila wanajijuwa na wanafahamu kabisa hayo maneno wameyaandika wapi.

Wamekuja na vijiswali vya kujifanya wanafahamu sana kumbe hawajui kitu.

Haya sasa, angaalieni hii video na tusikie mtasema nini....... Anaitwa barbara guerra.



ukisiliza 1:40, inasemwa wazi kabisa kuwa, gari halina modifiication yoyote kwa ajili ya vilema (disabled).


Mwingine huyu hapa, now what????



https://www.jamiiforums.com/habari-...hana-mikono-miguu-lakini-anaendesha-gari.html


umeshau kuwa kuna suala la training, mtu huchukua mda kufundwa hayo yote, sasa huyu kipenzi wetu anayetuletea majadala humu ndani imemchukua mda gani kuanza kumiliki gari kama sio baada ya kuingia kwenye siasa? Wenzio wanakuzwa hivyo, sisi bado hatujafika huko
 
Last edited by a moderator:
Sheria ya Ununuzi ya mwaka 2011 (Marekebisho) pamoja na mambo mengine inaruhusu ununuzi wa mali chakavu...... ni kwa jinsi gani tunajiandaa kupambana na matatizo kama haya ya ajali ?.......je, bunge letu lipo makini na linatekeleza wajibu wake ipasavyo?.........tutaangalia masuala ya enforcement ya sheria zetu baadaye, pamoja na nafasi yetu sisi kama wananchi wa kawaida ni vipi tunashiriki kama sehemu ya tatizo au suluhisho kwa mambo yanayofanana na haya ya ajali ya Mheshimiwa marehemu Regia(RIP).....tuendelee kujadili......
 
Sheria ya Ununuzi ya mwaka 2011 (Marekebisho) pamoja na mambo mengine inaruhusu ununuzi wa mali chakavu...... ni kwa jinsi gani tunajiandaa kupambana na matatizo kama haya ya ajali ?.......je, bunge letu lipo makini na linatekeleza wajibu wake ipasavyo?.........tutaangalia masuala ya enforcement ya sheria zetu baadaye, pamoja na nafasi yetu sisi kama wananchi wa kawaida ni vipi tunashiriki kama sehemu ya tatizo au suluhisho kwa mambo yanayofanana na haya ya ajali ya Mheshimiwa marehemu Regia(RIP).....tuendelee kujadili......

Dear Wayne !!!,

There's one thing that needs to be included in the equation. Majority of well do Tanzanians love high performance vehicles, V6 and above. They need them for prestige or sometimes for work. However, driving these sorts of vehicles in a very high speed in our existing road infrastructures is a very dangerous proposition.
 
Una hakika?......mimi kila weekend napishana na Dr Mwinyi akiendesha gari lake binafsi.....mbona trafiki hawamkamati? wakati mwingine binadamu huhitaji privacy bila uwepo wa devera hata kama umuhimu upo.....sasa ufisadi unatoka wapi?
Kama unapishana nae akiendesha mwenyewe wakati yuko kwenye safari zake za binafsi ni sawa ila akiwa kikazi na katika kazi za kibunge anapaswa aendeshwe kwa sababu Wabunge wanalipwa pesa za kuwalipa madereva wao ni vile vile akiwa kkazi kama waziri anapaswa kuendeshwa na Dereva aliyeajiriwa kwa ajili hiyo. Kuna wakati mwingine makosa yanatendeka hebu kumbukeni Marehemu Mbatia alipoendeshwa na Dereva wake Binafsi wakati wa Wizara aliyeajiriwa akiiachwa na baadae kupata ajali kule Njombe na tumemkosa.
 
Tanzania tatizo letu ni kufanya kazi kwa mazoea na si utaalamu....ajali kama hii imetokea lakini hutakuta utafiti wa kisayansi ukifanyika...hata kama ukifanyika utafiti kama huo bado utekelezaji wake unakuwa ni tatizo kubwa sana....HAKUNA UWAJIBIKAJI wala ufuatiliaji wa mambo kwa kina!!
 
wakati nachangia kwenye thread za kifo chake, niligusia suala hili japokuwa sikusema juu ya mamlaka. Nilisema yeye mwenyewe kasababisha kifo chake, kwani ni mlemavu halafu anaendesha gari MANUAL, ambayo inahitaji kutumia viuongo mbalimbali vya mwili kuliendesha.

pili nilizungumza kuwa, kitendo cha yeye kutokuwa na dereva kwa safari hiyo wakati tayari serikali inamlipa hela ya dereva tena wa daraja la juu la kuendesha viongozi wa serikali, nao ni ufisadi. kunyima vijana wenye daraja lessen C, kumemgharimu maisha, kumetugharimu watanzania kwani tulikuwa bado tunamhitaji tuendelee kupambana.

Mwisho nilisisitiza vyombo vilivyopewa mamlaka kusimamia sheria visiangalia sura ya mtu katika kusimamia sheria, japokuwa vinalalmikiwa lakini wasimame kama taasisi wawashitaki wale wanaotumia fedha za walipakodi kujinufaisha. Na waanze na wabunge ambao mpaka sasa wamekataa kuajiri madereva wenye sifa kuwaongoza safarini, huu ni ufisadi kwa wabunge
aahh sasa mlemavu alafu anagonga MANUAL?? hakuwa sirias huyo aisee
 
Back
Top Bottom