Nimeshtushwa sana na taarifa kuwa serikali haimjui mmiliki wa meli ya M,V Spice Islander ambayo imepata ajali hivi karibuni.......akizungumza na waandishi wa habari waziri Mohamed Aboud amesema"Sisi hatumjui mwenye kumiliki meli hii la ukweli lazima tuliseme,shirika la bandari ndilo lenye taarifa zote".
Lakini SUMATRA walipoulizwa walisema kuwa meli hiyo inamilikiwa na SAID BACWASH kupitia kampuni ya ALHUBRA SHIPPING CO.
sosi:mwananchi la 12/09/2011
Lakini SUMATRA walipoulizwa walisema kuwa meli hiyo inamilikiwa na SAID BACWASH kupitia kampuni ya ALHUBRA SHIPPING CO.
sosi:mwananchi la 12/09/2011