Ajali ya Meli: Utata wa umiliki wa meli na tamko la Serikali

Ni kweli, hayo ndiyo matunda ya Capitalist System... Capitalist Motto Man exploits Man... Pesa zimetembea zashibisha Matumbo hakuna anayejua kinachoendelea...

Na bado, wachache wataendelea kumiliki Uchumi wetu na hawajali wananchi wanajali pesa Meli ilikuwa imejengwa kubeba abiria 550 lakini hii ilikuwa na Mizigo Mingi na abiria zaidi ya mara mbili 1,100

Utamu wa Azimio la Zanzibar... Mnakumbuka wakati wa Ujamaa kabla ya Mzee Ruksa tulikuwa na meli lakini hakuna hajali? Serikali ilikuwa Makini

Mzee Ruksa katumaliza na bado!!!
 
habari za uhakika ni kuwa aliyesababisha ajali ya meli mv spice alikua ni day worker kwani nahodha halisi wa meli alikataa kuondoa chombo zanzibar baada ya kuona overloading.kwani mzigo wa fuso 13 ulipakiwa pamoja na abiria ambao walitozwa sh 4000 kwa safari ya meli ya mizigo badala ya abiria mv seagel ambayo hutoza sh 15000 kwa safari ya pemba
 
Meli hiyo inakadiriwa kuwa ilikuwa na abiria wapatao 1,000 ingawa taarifa za mmiliki zinaonyesha kuwa ilikuwa na abiria 605 kwa mujibu wa tiketi zilizokatwa huku abiria waliookolewa wakiwa 601 na maiti zilizopatikana zikiwa 240.

“Meli ilikuwa imejaa na kumbuka wakati tunatoka Dar es Salaam tulikuwa watu wasiopungua 1,200 pamoja na mizigo na tulipofika Unguja ikapakia watu wengi hivyo kwa ujumla tulikuwa watu wasiopungua 2,000 ndani ya meli,” alidai.

Akizungumzia safari ya kutokea Unguja kuelekea Pemba kabla ya meli kuanza kuzama, Ally alisema: “Mimi nilikosa siti hivyo nikawa na kazi ya kuzunguka huku na kule na wakati mwingine nikishuka chini kwa ajali ya kuwanunulia maharusi vyakula na kila nilipokuwa nikipita niliwakanyaga watu au kuwaruka kutokana na umati mkubwa uliokuwa ndani ya meli.
Source: Mwananchi,

Ndugu zangu kwa hii hali mimi nashindwa kujua majukumu ya SUMATRA ni nini haswa sababu wamekuwa fasta sana kuzifungia daladala na mabasi lakini vyombo vya anga na majini sijaona wakionyesha makali yao wakati kuna tatizo kubwa sana. Labda sio muda mwafaka lakini inapaswa kujikumbusha hawa watu kazi yao ni nini na wanatekelezaje majukumu yao.
 
kwanza poleni sana waTANZAnia kwa msiba huu mzito. Tumezoea kuwasingizia sana Mungu na shetani katika mambo ya ajali, je kwa kutokea kwa ajali hii nani awajibishwe?
 
1.Meli ni ya nani?

2. Msiba ni wa nani?

3. Kwa nini lawama zimehamishiwa voda?

4. Kwa nini tunawaza kichovu hivi?

5. Meli ilianza kuzama usiku. Hadi asubuhi meli ilikuwa inaelea urefu wa magoti. Huo muda haukutosha kuokoa?

6. Pasingekuwa na shindano lawama zingekwenda wapi?

Mwisho wa siku wa kulaumiwa ni mfumo. Wanaoilaumu na kuilaani voda ni wehu tu. Watz tutapelekeshwa hadi lini. Leo airport haina umeme. Nani alaumiwe? Nawasihi watz wenzangu, tuwe radical. Tuwe na uwezo wa kuhoji vyanzo ya matatizo na sio matokeo yake. Hii nchi ingekuwa inaendeshwa kwa WHAT IF fomula ladda tungekuwa mahala.

Nchi inaendeshwa kwa RULE OF THUMB. Siku tutakapokuwa na akili za kupambanua ndipo tutakuwa na uhuru wa kweli. Wazanzibari poleni, ila na nyie msiingie kwenye huu mkumbo wa kulaani msivyojua. Pokeeni misaada ya voda. Misiba na majanga vitatokea ila maisha LAZIMA yasonge
 
Wadau ndani ya Jf

kila nisikilizapo habari kupitia vituo mbalimbali watu na hata wafanyakazi wa bandalini wamekuwa ni wazito kuwataja wamiliki wa meli iliyozama

kwani kuna nini hapa? yaani hata viongozi wa wakuu wa serikali pia wamesikika wakiwa na kigugumizi cha kuwataja wahusika tunachosikia ni kuwa meli ilitengenezwa mwaka 1966 na wamiliki walikuwa wakibadilishana umiliki siku hadi siku

lakini mmiliki wa mwisho hadi meli ina zama amekuwa kama mungu kila mtu anaogopa kumtaja

kweli Tanzania tumefikia hapa tulipo kwa kuwaficha waliotuumiza?

wadau tunaomba tujue majina kamili ama kampuni iliyokuwa ikimiliki meli hiyo

KARIBUNI
 
Jamani hiyo meli naona ilisha expire siku nyingi sana.
Wanaogopa kumtaja mmiliki wake kwa kuhofia kupoteza mfadhili muhimu wa kampeni wa kile chama cha kijani na yellow
 
Jamani hiyo meli naona ilisha expire siku nyingi sana.
Wanaogopa kumtaja mmiliki wake kwa kuhofia kupoteza mfadhili muhimu wa kampeni wa kile chama cha kijani na yellow

hahahahahahahahahaa,
mimi simoooooooooooooooooooo
 
1.Meli ni ya nani?

2. Msiba ni wa nani?

3. Kwa nini lawama zimehamishiwa voda?

4. Kwa nini tunawaza kichovu hivi?

5. Meli ilianza kuzama usiku. Hadi asubuhi meli ilikuwa inaelea urefu wa magoti. Huo muda haukutosha kuokoa?

6. Pasingekuwa na shindano lawama zingekwenda wapi?

Mwisho wa siku wa kulaumiwa ni mfumo. Wanaoilaumu na kuilaani voda ni wehu tu. Watz tutapelekeshwa hadi lini. Leo airport haina umeme. Nani alaumiwe? Nawasihi watz wenzangu, tuwe radical. Tuwe na uwezo wa kuhoji vyanzo ya matatizo na sio matokeo yake. Hii nchi ingekuwa inaendeshwa kwa WHAT IF fomula ladda tungekuwa mahala.

Nchi inaendeshwa kwa RULE OF THUMB. Siku tutakapokuwa na akili za kupambanua ndipo tutakuwa na uhuru wa kweli. Wazanzibari poleni, ila na nyie msiingie kwenye huu mkumbo wa kulaani msivyojua. Pokeeni misaada ya voda. Misiba na majanga vitatokea ila maisha LAZIMA yasonge

Mto hoja hapo kwenye Red nikishapata jibu nitachangia hii thready yako!
 
mmh hili li nchi.....yaani mtu anachombo chenye kubeba roho nyingi za watu afu eti mmiliki is not readly available. only in tanzania!
 
Nimejaribu kuangalia katika wavuti mbalimbali na zote ninakutana na sentensi hii, kauli ya Muhammed ABoud
"The government is holding the chief engineer for questioning in order to gather details," Mr. Mohammed said. "The captain of the ferry is still missing, and the government doesn't know precisely the owner of the ferry."

Sasa ikiwa serikali inathibitisha kuwa haimjui mmiliki wa meli, kama vile ambavyo mpaka leo hajulikani mmiliki wa Dowans, hawa viongozi wetu wanatupeleka wapi? Kwa mtu yeyote mwenye uungwana (utu) japo kidogo asingethubutu kutamka maneno hayo. Inakuwaje mnakaribisha wawekezaji vivuli?

Mambo yakienda sawa aibu zenu zinafichika, lakini kwa tukio kama hili inathibitisha wazi kuwa Tanzania tuna "Bora viongozi", viongoz ambao wakishakuhongwa suti, pesa na hongo nyengine, hawajali yatayowafika wananchi; na ndio maana Tanzania kunaingizwa vyakula vibovu, madawa yaliyopitiwa na muda, na kila aina ya "uchafu wa dampo". Baadaye bila haya, wanamsingizia Mungu. Ikiwa kila linalotokea ni kwa amri ya Mungu, kwa nini tena mnakamata na kuwafunga wahalifu (wezi wa kuku na bata) au hawa hawana Mungu? Masikini Watanzania.
 
1.Meli ni ya nani?

2. Msiba ni wa nani?

3. Kwa nini lawama zimehamishiwa voda?

4. Kwa nini tunawaza kichovu hivi?

5. Meli ilianza kuzama usiku. Hadi asubuhi meli ilikuwa inaelea urefu wa magoti. Huo muda haukutosha kuokoa?

6. Pasingekuwa na shindano lawama zingekwenda wapi?

Mwisho wa siku wa kulaumiwa ni mfumo. Wanaoilaumu na kuilaani voda ni wehu tu. Watz tutapelekeshwa hadi lini. Leo airport haina umeme. Nani alaumiwe? Nawasihi watz wenzangu, tuwe radical. Tuwe na uwezo wa kuhoji vyanzo ya matatizo na sio matokeo yake. Hii nchi ingekuwa inaendeshwa kwa WHAT IF fomula ladda tungekuwa mahala.

Nchi inaendeshwa kwa RULE OF THUMB. Siku tutakapokuwa na akili za kupambanua ndipo tutakuwa na uhuru wa kweli. Wazanzibari poleni, ila na nyie msiingie kwenye huu mkumbo wa kulaani msivyojua. Pokeeni misaada ya voda. Misiba na majanga vitatokea ila maisha LAZIMA yasonge

Kama Meli haina mwenyewe ???? Uchunguzi au tume iliyo undwa kuchunguza ina chunguza nini kwanza na kwanini ichunguze huku haijui mwenye meli??

Serikali inatuona sie watanzania mazuzu kweli ni muda wa kuiwajibisha serikali. Mawaziri wa nao husika na swala la usafiri both Bara na Visiwani wawajibike i mean wajiuzuru. Hoja kuu ni kwanini mpaka sasa hawja toa tamk la nani anae miliki Mv Spice?

My Take;


Uchungizi wa nini? Tatizo liko wazi anae miliki meli hajulikani sasa mwachungiza nani ili iweje? Tatizo liko wazi kabisa hapo overload kama Mv.Bukoba at least Mv.Bukoba ilikuwa ya TRC hii ya Mv spice je? its outrageous kabisa kutuma watu kuchunguza hilo janga wakati history ya meli inajulikana naja katika Clouds FM kibonde alitajai historia ya meli, ila nae hakupata jina la mmiliki wa meli duuuuuuuh hii ni kuhitaji watu wawajibishwe, kwa nani hapo nini kazi ya Uchukuzi kati ya Bara na visiwani nandio maana hoja yangu ina rudi pale pale wizara zote na mabosi hao waaachie ngazi esp Waziri na manaibu waziri wa wao
 
ZANZIBAR GOVERNMENT DENIES KNOWLEDGE OF OWNERS OF SUNKEN FERRY

In an extraordinary, though not unprecedented turn of events has the government of Zanzibar reportedly denied to have any knowledge of the registered owners of the MV Spice Islander.

Registration and licensing of ocean going vessels however has been confirmed to be a function of government by tourism stakeholders, one of whom said this in an email overnight: This is not just unreal but almost mocking those seeking answers, those who lost relatives on the islands. How can a government claim not to be aware of the owners and it is the same government giving them a license.

We are also disturbed about conflicting figures, some of which put the total passengers to over 800 and then government mouthpieces try to shrink these figures to within the licensed number. What is going on here. The tragedy was avoidable if only rules were enforced. There is notorious corruption across all outlets of public services and they are now just trying to whitewash the whole thing.

It is high time that government brings us new safe ferries which can be used to travel from one island to the other without risking our lives every time one sets foot on board. The central government in Dar es Salaam did according to media reports release 300 million Tanzania Shillings to assist bereaved families with funeral expenses.

The official number of casualties was given by a Zanzibar government spokesperson as just under 200 with nearly 600 survivors, which would put the overall number of passengers on board well over the licensed figure permitted. There is also no certainty over the number of bodies not yet recovered, as apparently no complete passenger manifest was produced prior to the ferry leaving for its last ill fated journey to Pemba.

Reconciling survivors and casualties is therefore literally impossible for the authorities in Zanzibar. It is understood that Kenyan authorities are now also keeping a watch along the shores from across the Pemba Channel, in case any bodies would be spotted across the international border.

Source:
Zanzibar ferry accident update – Now government denies knowledge of ferry owners « Wolfganghthome's BlogA
 
Nimejaribu kuangalia katika wavuti mbalimbali na zote ninakutana na sentensi hii, kauli ya Muhammed ABoud
"The government is holding the chief engineer for questioning in order to gather details," Mr. Mohammed said. "The captain of the ferry is still missing, and the government doesn't know precisely the owner of the ferry."

Sasa ikiwa serikali inathibitisha kuwa haimjui mmiliki wa meli, kama vile ambavyo mpaka leo hajulikani mmiliki wa Dowans, hawa viongozi wetu wanatupeleka wapi? Kwa mtu yeyote mwenye uungwana (utu) japo kidogo asingethubutu kutamka maneno hayo. Inakuwaje mnakaribisha wawekezaji vivuli?

Mambo yakienda sawa aibu zenu zinafichika, lakini kwa tukio kama hili inathibitisha wazi kuwa Tanzania tuna "Bora viongozi", viongoz ambao wakishakuhongwa suti, pesa na hongo nyengine, hawajali yatayowafika wananchi; na ndio maana Tanzania kunaingizwa vyakula vibovu, madawa yaliyopitiwa na muda, na kila aina ya "uchafu wa dampo". Baadaye bila haya, wanamsingizia Mungu. Ikiwa kila linalotokea ni kwa amri ya Mungu, kwa nini tena mnakamata na kuwafunga wahalifu (wezi wa kuku na bata) au hawa hawana Mungu? Masikini Watanzania.

Loo!!
mbona mwenye meli nasikia ni hasmu makane
 
Back
Top Bottom