Kinyungu
JF-Expert Member
- Apr 6, 2008
- 17,551
- 33,567
Nawatakia Lundenga na Rwehumbiza mashindano bora na yenye mafanikio. Narudia kusema Zanzibar sio Tanganyika ni nchi kama ilivyo Comoro ama Sychelles. Msiba wao unatugusa kwani ni binadamu wamekufa lakini hakuna haja ya kuahirisha mashindano kwa sababu ya msiba huo.
Wazanzibar wako karibu na Waoman kuliko Watanganyika hivyo mambo yao yawe ya shida ama raha hayatuhusu kivile.
Tukio la msiba huu liwe chachu ya kuvunja muungano rasmi maana kimsingi ulishavunjika.
Wazanzibar wako karibu na Waoman kuliko Watanganyika hivyo mambo yao yawe ya shida ama raha hayatuhusu kivile.
Tukio la msiba huu liwe chachu ya kuvunja muungano rasmi maana kimsingi ulishavunjika.