Crashwise
JF-Expert Member
- Oct 23, 2007
- 22,227
- 8,735
kijiweni... nadhani wawasaidie wahanga zaidi kuliko kuzipeleka kwa hao hao wanaomiliki meli na boti, kila kiti kinatakiwa kuwa na boya, clouds wana wazo zuri la hela ila mlengwa ndio wamechemsha. Itasababisha meli kuongeza abiria kwa wingi wa maboya.hivi elimu ya kibonde, wasiwasi na mwenzie kayanda ni kidato ngapi labda tuwasaidie mawazo nahisi IQ zao zinalingana na elimu yao.
<br />
<br />
acha kuchanganya mambo mkuu, wajibu wa meli kupakiza idadi sahihi ni wa SUMATRA, so hata km maboya yakiwa mawil km hii mamlaka haitafanya kaz kiufanisi, watu watapanda wengi tu, kinachopaswa kufanya ni kila mamlaka itekeleze wajibu wake, abiria wapewe elimu ya usafiri, wamiliki wa meli wajue wajibu wao na mamlaka husika za udhibiti vyombo zifanye kazi zake. Na wala si swala la maboya yakiwa weng abiria watakua wengi.
lakini unajua kwamba znz hawaitambui sumatra kama chombo cha muungano??
hahaha...kwali ujinga mzingo@ Eshackykwa hiyo?