Ajali ya Meli: Clouds FM na msaada wa maboya

kijiweni... nadhani wawasaidie wahanga zaidi kuliko kuzipeleka kwa hao hao wanaomiliki meli na boti, kila kiti kinatakiwa kuwa na boya, clouds wana wazo zuri la hela ila mlengwa ndio wamechemsha. Itasababisha meli kuongeza abiria kwa wingi wa maboya.hivi elimu ya kibonde, wasiwasi na mwenzie kayanda ni kidato ngapi labda tuwasaidie mawazo nahisi IQ zao zinalingana na elimu yao.
<br />
<br />
acha kuchanganya mambo mkuu, wajibu wa meli kupakiza idadi sahihi ni wa SUMATRA, so hata km maboya yakiwa mawil km hii mamlaka haitafanya kaz kiufanisi, watu watapanda wengi tu, kinachopaswa kufanya ni kila mamlaka itekeleze wajibu wake, abiria wapewe elimu ya usafiri, wamiliki wa meli wajue wajibu wao na mamlaka husika za udhibiti vyombo zifanye kazi zake. Na wala si swala la maboya yakiwa weng abiria watakua wengi.
lakini unajua kwamba znz hawaitambui sumatra kama chombo cha muungano??



kwa hiyo?
hahaha...kwali ujinga mzingo@ Eshacky
 
Duh! Kweli kufikiri kwataka akili, waweza kujituma kufikiri kumbe hauna akili matokeo ukaonekana dhalili kwa wenye akili. Jenga akili ili ujifunze kufikiri hapo ndipo utakapoona raha ukitoa mawazo mbele ya watu mahili, hawatakuona jahili bali watathibitisha umahili wako. Wahitajika kukuza akili ili uweze fikiri fikra sahili.

mkuu mbona nachoka, yani kuna watu wengi sana wanaofiria kwa kutumia masaburi na huyo mwita25 ndo kabisaa namba 1, tena masaburi yamemjaa mwili mzima.
 
wewe ni mfanyakaz wa clouds nini, hapo nini hakieleweki sasa?? umiza kichwa japo kidogo kitu kama hakitambuliwi kitakuaje na mamlaka katika utendaji wa kazi zake??
wale wajinga wa clouds wanajifanya kuwa na uelewa wa kila kitu from social, political econo.+science
mara utamsikia mjinga wa clouds akikosoa results generated from genetic engeneering, mara wakielezea Atomicity yaan ni wapuuzi sana
 
Kwahiyo wewe ulitakaje? Huoni kama wamechukua initiative sasa wewe unataka wahoji chanzo cha ajali kwani wao wamekuwa Polisi?

Alichomaanisha ni kwamba hakuna jahazi linaloruhusiwa kwenda baharini bila Maboya, kuchangisha ili kununua maboya ni makosa kwasasa hayo utakayonunua utayaweka wapi? kila baada ya miezi sita wakaguzi wanapita kuangalia kama vifaa vyote unavyo ikiwemo vifaa vya zimamoto, huduma ya kwa kwanza pamoja ubora wa chombo chenyewe. Sasa wao hayo maboya watampa nani au wanataka kila Mtanzania atembee na boya anapoenda kupanda jahazi kama ilivyo kwa mtu kuwa na umbrella wakati wamvu!
 
wewe ni mfanyakaz wa clouds nini, hapo nini hakieleweki sasa?? umiza kichwa japo kidogo kitu kama hakitambuliwi kitakuaje na mamlaka katika utendaji wa kazi zake??
<br />
<br />
sasa hapo tatzo c serikal, hawajatimiza wajibu wao. Ha ha ha, we unaanza kuwalaumu wachangisha ma life jacket. Watanganyika bwana.
 
Hii issue ukiiangalia kwa jicho la tatu huwezi kuwalaumu Clouds au mtu aliyeanzisha hilo jambo. Kwa mimi wanachofanya Clouds ni kama kuwakejeli hao watoa huduma za usafiri wa baharini! Bila shaka lengo lao ni kuonesha kwamba, ikiwa wanafanya biashara na bado wanashindwa kununua maboya kwa ajili ya abiria basi Clouds watafanya hiyo kazi. Kimsingi, Clouds hapo wapo sahihi kwa 100% !!! Kwa baadhi ya waandishi wa habari, kuna staili fulani ya uandishi huwa wanaitumia ambayo kwa mtu wa kawaida anaweza kuzani labda wana-support jambo fulani kumbe kimsingi huwa wanaponda! Sikumbuki jina la aina hiyo ya staili ya uandishi, lakini waandishi wenyewe wanaijua!! nakumbuka humu ndani Mwanakijiji alishawahi kuandika thread( i think kuhusu wachaga) kwa hiyo staili; majority hawakumuelewa na walimponda vibaya sana!!!!

wanachokifanya ni upumbavu, hivi ni lini watanzania tutaacha kujiongezea laana?? hawa wanashhindwa kuinyooshea kidole serikali kwa sababu ya maslah yao binafsi, hawajaanza leo kujikombakomba kwa serikali....kifupi hii ajali nzima inaonyesha kuna mazingira ya kifisadi kati ya serikali na wamiliki, kwa sababu kama serikali ingesimamia sheria za usafirishaji hiyo meli isingekua inabeba abiria....haina credibilities zozote za usalama wa abiria wake, ina maboya 200 wakati inabeba watu zaidi ya 600, katika mazingira hayo ilikuaje ikaruhusiwa kutoka bandari ya dar??

the govt is corrupt thats all, lakini clouds hawawezi kusema coz wanasurvive kwa kujikombakomba tu....
 
<br />
<br />
sasa hapo tatzo c serikal, hawajatimiza wajibu wao. Ha ha ha, we unaanza kuwalaumu wachangisha ma life jacket. Watanganyika bwana.

soma the whole storry usiwe kama wale wasomao mstari mmoja wa bible na kuanza kuukashifu. jiulize hiyo post ilitokea wapi na kwanini....AMKAAAAAAAAAAAAAA naona unasinzia hapo kwenye avatar hahaahahahaahaahhah
 
soma the whole storry usiwe kama wale wasomao mstari mmoja wa bible na kuanza kuukashifu. jiulize hiyo post ilitokea wapi na kwanini....AMKAAAAAAAAAAAAAA naona unasinzia hapo kwenye avatar hahaahahahaahaahhah
<br />
<br />
ebu soma post zangu zote utajua nachoongea! Hakuna nayemsifu hapa, nacho sema kila mmoja ana wajibu wake katika jamii hii kuhakikisha hizi ajali zisizo na kichwa kutokea, ukianzia serikali, wamiliki wa vyombo vya usafiri na mwisho sisi wananchi. Mf. Kuna vivuko vya serikali ambavyo vina upungufu wa life jacket, huoni sis km wananchi tutaweza kusaidia kwa namna moja au nyengine kuongezea idad baada ya kujifunza kutokana na janga hili, kwa hiyo hilo wazo la clouds si la kipumbavu kihivyo, km unavyotaka kuaminisha watu.
 
<br />
<br />
ebu soma post zangu zote utajua nachoongea! Hakuna nayemsifu hapa, nacho sema kila mmoja ana wajibu wake katika jamii hii kuhakikisha hizi ajali zisizo na kichwa kutokea, ukianzia serikali, wamiliki wa vyombo vya usafiri na mwisho sisi wananchi. Mf. Kuna vivuko vya serikali ambavyo vina upungufu wa life jacket, huoni sis km wananchi tutaweza kusaidia kwa namna moja au nyengine kuongezea idad baada ya kujifunza kutokana na janga hili, kwa hiyo hilo wazo la clouds si la kipumbavu kihivyo, km unavyotaka kuaminisha watu.

tunaamini katika vitu viwili tofauti mkuu, mi naamini dawa ya jipu ni kulikamua wewe unaamini ni kunywa panadol, hatutaweza elewana kamwe.
 
Hao Clouds wana jipendekeza sana kwa Magamba na wanataka kuwadhulumu watu tu na ni wezi wa kutupwa mi nasubiri kifo cha Clouds tu siipendi kama nini.
 
Hata mimi sielewi hii issue. Kwanza nani kasema ajali ilisababishwa na upungufu wa life jackets? Au mimi niko nyuma. Kwa nini hawajanunua seat bealts na watu wanakufa kila siku kwa ajali za barabarani?

La pili, meli zisizokuwa na life jackets zinauzwa, au kutengenezwa wapi? Zinaruhusiwa kufanya biashara bila life jackets katika nchi gani za majuha wanaongozwa na coconut heads?

Clouds FM wanajipendekeza kwa serikali na hasa JK ndio maana kama chombo cha habari wanashindwa kabisa kuwa neutral na kuwasaidia Watanzania kuelewa matatizo yao yanasababishwa na nini. Kwa bahati mbaya hii ndio tabia ya vyombo vyote vya habari - radio na TV. Hawana msaada wowote.
 
Clouds muwe na upeo wa kufikiria maboya kila chombo kina taratibu zinachokipitisha. Kama umeongeza abiria na mizigo unategemea muujiza wa kuelea. Punguza akili za kike kwamba ukichuchumaa umamaliza yote.
 
Yaani humu kuna watu wana mawazo ya kipuuzi sijapata kuona. Kila kitu mnadhani ni siasa tu! Hao Clouds wanajipendekeza kwa nani? ili iwe nini? Kuna mambo huwa tunawaza vizuri lakini mengine ni pumba tu
 
...hapa tungewa tunatumia majina halisi,ungekuta ni watangazaji wa clouds na wa east afrika wanabishana,hebu muendele wasikilizaji tusikie sisi
 
hii tabia ya kupenda sifa hii itakuja kuwapeleka watu pabaya. kama wao ni waandishi wahabari walio makini kweli ni lini wamewahi kuchunguza mambo ya usafiri hapa nchini pamoja na ajali zote zinazotokea kila siku?? tatizo linapotokea ndo kila mtu anajifanya kutahamaki, waendelee kutoa burudani tu wala wasitake kujibebesha mizigo wasiyoijua.
 
Wasiishie hapo wanunue na meli mpya maana nasikia iliyozama ilishakuwa chakavu. Tabia ya kutafuta jina kupitia majanga inaelekea kuwa sugu.
<br />
<br />
Kama wako serious kusaidia basi wawalenge waathirika kwa msaada endelevu kama vile kuwastawisha kinyanja zote maisha wale wote waliopoteza watu wanaowategemea!
 
Mu hali gani wana jamvi, clouds wamekua wakitangaza wananchi kuchangia fedha kwajili ya kununu life jaket bila kukosea 10,000pcs kwaajili ya vyombo vya mjini kwa anajua anijuze hivi vyombo vya majini havina wamiliki? je si sheria ya meli na botu kuwa na hizo lifejaket ili ziruhusiwe kufanya safari zake? Kwani nimeifananisha na mtu huwa na daladala yake tairi zikiisha anaomba msaada watu wamchangie. Kwa anaejua anielimishe pls

NAWAKILISHA
 
Back
Top Bottom