nguvumali
JF-Expert Member
- Sep 3, 2009
- 4,915
- 1,318
hiyo ni ishara kuwa taifa halina wafikiriaji wa kina, wakati kina mwanakijiji wakionya juu ya majanga hakuna aliejishughulisha, hawa clouds wanaendeleza utamaduni wa kinafiki, wakufikiri baada ya Tatizo, Unafiki a kujitafutia ujiko katika msiba kwa kutoa fedha nyingi, Je walikua wapi siku zoote wakati mgonjwa akiimwa kabla ya kufa....!
hao ni wanafiki tu
hao ni wanafiki tu