nimewasikia eti wameanza kampeni ya kuchangisha fedha za kununulia maboya ya kwenye meli, hivi ni kweli mmefikiria vizuri kitu mnachoenda kufanya au ndo mnaendeleza lile wimbi la kukurupuka?? je mnajua procedure zinazopitiwa mpaka meli kupewa kibali cha kupakia abiria?? mmehoji kwa nini hiyo meli haikua na maboya ya kutosha na bado ikaendelea kufanya biashara?? au mnaogopa kuwahoji kwa sababu ya kuhofia kukichafua chama chenu?? em jaribuni kukuna kichwa kidogo mmajidhalilisha kwa kweli...
Kwahiyo wewe ulitakaje? Huoni kama wamechukua initiative sasa wewe unataka wahoji chanzo cha ajali kwani wao wamekuwa Polisi?
Kwahiyo wewe ulitakaje? Huoni kama wamechukua initiative sasa wewe unataka wahoji chanzo cha ajali kwani wao wamekuwa Polisi?
au mnaogopa kuwahoji kwa sababu ya kuhofia kukichafua chama chenu?? em jaribuni kukuna kichwa kidogo mmajidhalilisha kwa kweli...
Wakati ninyi mnafikiria siasa zenu za kumwagia watu TINDIKALI wengine wanawaza kuokoa maisha, mwaka huu walichangisha zaidi milioni 250 kwa wahanga wa gongolamboto, na kwa hili wana mpango wa kukusanya life jackets zaidi ya elfu kumi na watazisambaza kwenye mahitaji. Nadhani mkiendelea na tabia hizi za kubeza juhudi za kuokoa maisha ya watu ili mtengeneze umaarufu wenu wa kisiasa itakuwa kazi rahisi sana huko mbele kama mlivyoirahisha huko Igunga kwa uroho wenu wa kutoa roho.
ukisikia kenge anaimba taarabu ndo hapa sasa.
kaoge kwanza naona unausingizi....
Wasiishie hapo wanunue na meli mpya maana nasikia iliyozama ilishakuwa chakavu. Tabia ya kutafuta jina kupitia majanga inaelekea kuwa sugu.Kwahiyo wewe ulitakaje? Huoni kama wamechukua initiative sasa wewe unataka wahoji chanzo cha ajali kwani wao wamekuwa Polisi?
Wakati ninyi mnafikiria siasa zenu za kumwagia watu TINDIKALI wengine wanawaza kuokoa maisha, mwaka huu walichangisha zaidi milioni 250 kwa wahanga wa gongolamboto, na kwa hili wana mpango wa kukusanya life jackets zaidi ya elfu kumi na watazisambaza kwenye mahitaji. Nadhani mkiendelea na tabia hizi za kubeza juhudi za kuokoa maisha ya watu ili mtengeneze umaarufu wenu wa kisiasa itakuwa kazi rahisi sana huko mbele kama mlivyoirahisha huko Igunga kwa uroho wenu wa kutoa roho.