Bahati mbaya sana kuna watu wanawaamini sana hao viumbe, wakisikia hivyo watachanga tu.Wasiishie hapo wanunue na meli mpya maana nasikia iliyozama ilishakuwa chakavu. Tabia ya kutafuta jina kupitia majanga inaelekea kuwa sugu.
<br />Teh teh teh, Radiooo ya wafuuuuuuuuueeeh