Next Level
JF-Expert Member
- Nov 17, 2008
- 3,153
- 176
Right, huyo Mallya ni kwamba Mbunge alienda akachukua mtu amuendeshe wakati hana leseni. Irresponsible. Huyu dereva wa aliyetelekezwa na Mwakyembe na atoe full testimony kama alikuwa under duress ya bosi.
Khaaa! wajemeni.....hapo kny bold sijui ulidhamiria kusema hivyo au vidole vimetelezea kwingine?