Wengine wamebaki nje wanasubiri kupewa taarifa ya nini kinaendelea.
Only in Tz, au ndio utamaduni tuliojijengea wa kukosesha wagonjwa pumzi? ndio kujionyesha kwamba wana mapenzi na mshikamano sana? Nashangaa watu kuacha kazi na kuja mnyanyapaa mwenzao majeruhi.
Huu ni mtizamo wangu, msilete chuki...hata na majirani.