Hizi ni AJALI kweli? Politics in bongo is increasingly becoming a dirty game!
What? You hope Rostam was not behind this?
Well, I hope he wasn't racing recklessly down a rural back alley. Or drunk and driving!
Usilipuke bila mpango...btw its matter of time kujua which is which.
Wewe uliyedokeza kwamba ni Rostam anahusika, ulidhani mazuri hayo kuyasema?
Na wengine waanze ku speculate kwamba alikuwa anakimbiza gari maporini huko, sawa? Au tuanze ku speculate kwamba kalewa huku anaendesha?
Ajali wapate kunguru, akipata njiwa njama!
I hope RA & CO r not behind this.
Haya sasa, nyeti zimewekwa hapo juu, Mkuu gari lake lilikuwa liko baru lina overtake.
Ngoma ikawashinda ikawamwaga... Sasa sijui Rostam ndio aliwapa clearance kwamba barabara ni shwari mbele waende speed?