wa hapahapa
JF-Expert Member
- Aug 22, 2012
- 7,460
- 4,404
Kuna nini? Mbona hizi ajali zimezidi?
ngoja waje na sababu zinazoweza kuzuilika...
Kuna nini? Mbona hizi ajali zimezidi?
Kuna ajali nyingine ya Basi la Kilimanjaro Expres...
... Nyingine tena ?.
Hii ni ajali ya tatu leo hii!
Hii hatari. Nimesikia pia kuna ajali imetokea mikumi ikihusisha roli na basi, nyingine tena imetokea msata ikihusisha mabasi ya ngorika na ratco. Yote haya yametokea leoleo
Nyingine Kitonga!Ya tatu imetokea wapi tena? Nimesikia Ratco na ngorika imetokea Msata , happy nation mikumi. Hiyo nyingine ni ipi na wapi?
Eh Mungu nyooosha mkono wako wa rehema baba...
Hata tusiomjua mungu leo tutamwita!
Nyingine Kitonga!