Ajali sasa basi

Ajali sasa basi

Aliyechora hiyo dotted line hapo bila kujua kuna scenario kama hizo barabarani
 
Zamani Ndiyo Ilikuwa Watu Wanaendesha Tu Magari
Sasa Hivi Hutakiwi Kuangalia Una Haki
Tunahimizwa Defence Driving, Iwapo Mwenzako Kakosea Na Mnachotakiwa Kufanya Popote Ni Kuepusha Ajali!!!

Kwa Picture Yako Na Inavyotakiwa Unalipita Gari La Mbele Yako Kama Tu Usalama Upo, Hapo Hatutaangalia Mistari Inakuruhusu Ama Laa!!
Maana Mistari Tutasema Number 3 Inamruhusu Halafu Number 3 Inamkutaza

Lakini Je Ni Salama Kwa Wote
Umeongea vizuri sana, ukijiona wewe ndiyo mwenye haki barabarani utasababisha ajali nyingi sana, namba 1 ana uwezo wa kupunguza speed ili huyo namba 2 apite, hata namba 4 pia angefanya the same hii utaepusha ajali sana, sasa unakuta umeshaona mwenzako kakosea wewe unatunisha kifua na kukazana kukanyaga mafuta,
 
Kosa lipo hapo ku overtake kwenye road sign inayokataza ku overtake
IMG_20200910_111124.jpg
 
Kosa lipo hapo ku overtake kwenye road sign inayokataza ku overtake View attachment 1565054
Nyie ndio mliletewa licence na mjomba, aliyekwambia doted line inakataza ku overtake ni nani

Nikufahamishe tu kua doted line inaruhusu ku overtake so kwa muktadha wa sheria za barabarani hapo mwenye kosa ni no 2 (mstari usio doted maana yake haruhusiwi kuovertake) lakini pia no tatu anaweza kua na kosa kwa kutojiridhisha kama mbele ni salama kabla hajaovertake.

Lakini kama namba 2 angefuata sheria ( mstari umemkataza kuovertake) basi namba tatu angeovertake smoothly na huo utata hapo wala usingekuwepo.
 
Nyie ndio mliletewa licence na mjomba, aliyekwambia doted line inakataza ku overtake ni nani

Nikufahamishe tu kua doted line inaruhusu ku overtake so kwa muktadha wa sheria za barabarani hapo mwenye kosa ni no 2 (mstari usio doted maana yake haruhusiwi kuovertake) lakini pia no tatu anaweza kua na kosa kwa kutojiridhisha kama mbele ni salama kabla hajaovertake.

Lakini kama namba 2 angefuata sheria ( mstari umemkataza kuovertake) basi namba tatu angeovertake smoothly na huo utata hapo wala usingekuwepo.
We kweli bwabwa, unatumia nguvu kuelezea huna unachokijua, leseni nililetewa na mshua sasa wewe kinakiuma nini, nilikutuma mzee wako awe masikini ili asikulete leseni nyumbani wivu tu nyau we
 
Zamani Ndiyo Ilikuwa Watu Wanaendesha Tu Magari
Sasa Hivi Hutakiwi Kuangalia Una Haki
Tunahimizwa Defence Driving, Iwapo Mwenzako Kakosea Na Mnachotakiwa Kufanya Popote Ni Kuepusha Ajali!!!

Kwa Picture Yako Na Inavyotakiwa Unalipita Gari La Mbele Yako Kama Tu Usalama Upo, Hapo Hatutaangalia Mistari Inakuruhusu Ama Laa!!
Maana Mistari Tutasema Number 3 Inamruhusu Halafu Number 3 Inamkutaza

Lakini Je Ni Salama Kwa Wote

 
Back
Top Bottom