Ajali sasa basi

Ajali sasa basi

Nyie ndio mliletewa licence na mjomba, aliyekwambia doted line inakataza ku overtake ni nani

Nikufahamishe tu kua doted line inaruhusu ku overtake so kwa muktadha wa sheria za barabarani hapo mwenye kosa ni no 2 (mstari usio doted maana yake haruhusiwi kuovertake) lakini pia no tatu anaweza kua na kosa kwa kutojiridhisha kama mbele ni salama kabla hajaovertake.

Lakini kama namba 2 angefuata sheria ( mstari umemkataza kuovertake) basi namba tatu angeovertake smoothly na huo utata hapo wala usingekuwepo.

This is excellent!
 
Back
Top Bottom