S2dak_Jr
Senior Member
- Jul 15, 2012
- 198
- 45
Wanajamvi,
Nadhani mtakumbuka nilikuja na thread ya Ajali Mbaya ya Hiace Jimboni kwa Mwigulu Nchemba masaa mawili yaliyopita.
Muda huu kuna taarifa ya kuwa mtu mmoja amefariki baada ya kuanguka kutoka juu ya gari la Mnada mpaka chini kwenye lami.
Ajali hii imetokea maeneo ya Kiomboi ambapo leo Mh. Mwigulu Nchemba amemaliza kikao cha siku mbili na wanaCCM wenzake.
Kwa wale wanaofahamu magari ya Mnadani huwa yanajaza mizigo mingi na wenye mizigo kukaa juu ya hiyo mizigo.
Hiki ni kifo cha nne ndani ya masaa mawili, ukiacha vile vifo vitatu vya Hiace nilivyoripoti hapa jamvini.
My take: Mpaka sasa sijajua leo kuna balaa gani kwenye barabara hii.
Source: Duru za Kipolisi.
Nadhani mtakumbuka nilikuja na thread ya Ajali Mbaya ya Hiace Jimboni kwa Mwigulu Nchemba masaa mawili yaliyopita.
Muda huu kuna taarifa ya kuwa mtu mmoja amefariki baada ya kuanguka kutoka juu ya gari la Mnada mpaka chini kwenye lami.
Ajali hii imetokea maeneo ya Kiomboi ambapo leo Mh. Mwigulu Nchemba amemaliza kikao cha siku mbili na wanaCCM wenzake.
Kwa wale wanaofahamu magari ya Mnadani huwa yanajaza mizigo mingi na wenye mizigo kukaa juu ya hiyo mizigo.
Hiki ni kifo cha nne ndani ya masaa mawili, ukiacha vile vifo vitatu vya Hiace nilivyoripoti hapa jamvini.
My take: Mpaka sasa sijajua leo kuna balaa gani kwenye barabara hii.
Source: Duru za Kipolisi.