Ajali mbaya mkoani Singida: Watu kumi na tatu wafa papo hapo

Hizi noah zinaua sana siku hizi,bora zizuiliwe kubeba abiria cz hao madereva wake sidhani kama wana leseni za kubeba abiria(class c) na wameenda mafunzo ya udereva kwny vuo husika(n.i.t au veta).
 
Salary Slip acha uongo hii picha nimepiga mm na cm yangu na sio ITV, hivi unadanganya watu chanzo cha habari ili upate nini? Misifa tu au?
ITV wametoa breaking news bila picha na nilichosema ndicho walichoripoti.

Hivi na wewe umepiga hiyo picha na kuileta hapa JF ili upate sifa?!

Alafu nidanganye ili iweje?!

Mpaka sasa sielewi ni nini hasa umekusudia kusema?

Hiyo kazi ya kuunganisha picha imefanywa na mods hivyo kama huridhiki wasiliana na mods wenyewe.
 
Salary Slip acha uongo hii picha nimepiga mm na cm yangu na sio ITV, hivi unadanganya watu chanzo cha habari ili upate nini? Misifa tu au?

Nawe simu sio yako au una kiwanda cha simu mkuu?????!!!
wala hii Jf sio yako na umeposti hapa!!!!

Acha misifa nawe bhana kwan akitumia picha uliyoweka likes zako zinahamia kwake au rep power???!!!
 
Nilishaacha kupanda hivi vidudu toka MUNGU aniokoe katika ajali ile pale ranchi Mvomero"
 
Unakoelekea, hukawii kuilaumu ccm kwa uzembe wa mdereva kutotii sheria, hapo hapo Trafic wakifanya kazi yao mnawaita "njaa"!

Wao ndio waliruhusu hizi biscuit kubeba abiria tena safari ndefu ikiwa na tyre moja nyuma pamoja na kuwa na features zote za gari ya luxury!!!!!

Alaaniwe aliyeruhusu hili
 
Nawe simu sio yako au una kiwanda cha simu mkuu?????!!!
wala hii Jf sio yako na umeposti hapa!!!!

Acha misifa nawe bhana kwan akitumia picha uliyoweka likes zako zinahamia kwake au rep power???!!!

Hiyo kazi ya kuunganisha picha na habari imefanywa na mods bila shaka kwa nia njema tu ili habari husika iendane na picha.Hivi kuna mtu analipwa kwa kupost chochote hapa JF?!

Achana nae analalamika bure huyo!
 
Inasikitisha sana., kweli kila kitu Tanzania wameshindwa kudhibiti ivi dereva analala kwenye gari ata wasiwas hana na gari lake kubwa kama hilo tena barabara kuu kama hiyo., Wenzetu hapa Europe ni tofuati sana ukisinzia kwenye gari mda huo huo unakuta umezungukwa na Polisi haijulikan wanatokea wapi, wamejitahidi sana kuokoa hizi ajali ajali. Mungu atupe subira kwa wale wafiwa
 
Mkuu huwezi amini ajali hii imetokea kwa vile dereva wa lori Scania alisinzia, akapoteza mwelekeo wakagongana uso kwa uso, so they were just at a wrong place at at a right time.


inasikitisha sana...... sasa watafidiwa na nani? lory litaifishwe? na hizi bima zetu feki !!!!
 
Ni wiki imepita nimetoka kugombana na dereva wa Noha.
Yaani jamaa alikuwa kapakia abiria wawili siti ya mbele kiasi kwamba alikuwa yeye dereva kabanwa na kukosa uhuru wa kumiliki usukani wake.
Alinionyesha kibali cha SUMATRA na kinaonyesha anatakiwa kubeba abiria 12.
Sasa jiulize Noha inabebaje abiria wote hao.
 
polee kwa wafiwa woote...hapo singida pana black spot ama vip jamani? ndani ya wiki 3.ajali 3 tena zinazoua watu kibao? God help us! na wahusika wanachukulia poa tu. hakuna hatua zozote zinachukuliwa kunusuru roho za watu.
 
Back
Top Bottom