Ajali mbaya mkoani Singida: Watu kumi na tatu wafa papo hapo

Juzi kafa Faru mmoja waziri kajitokeza kwenye vyombo vya habari na kupinga vikali sana + mbinu zingine ili faru wasife tena....
Haya leo binadamu wenzetu wamechinjwa kama kuku na magari/roho za watu wasio hata na hatia zimetoka, sasa waziri mkuu au waziri husika ajitokeze na leo sasa???
Mungu awape faraja wanasingida,wafiwa na waTz woote!!!
____R. I. P_mliotangulia mbele za haki...

Akili za bavicha ni mbaya! Kila kitu waziri aje, badala ya kusema Traffic washughulikie upesi na aliyesababisha achukuliwe hatua za kisheria we unakimbilia waziri! Kwani ni sawa na Mwenyekiti wa kijiji ambaye utampata haraka hapo hapo kijijini!
 
Akili za bavicha ni mbaya! Kila kitu waziri aje, badala ya kusema Traffic washughulikie upesi na aliyesababisha achukuliwe hatua za kisheria we unakimbilia waziri! Kwani ni sawa na Mwenyekiti wa kijiji ambaye utampata haraka hapo hapo kijijini!

Poleni wafiwa, poleni majeruhi.

R. I. P waliotangulia woteee
 
Mungu awape faraja wafiwa, awaponye majeruh, na awalaze pema peponi marehem.
 
Inasadikika watu 13 wamekufa papo hapo baada ya gari aina ya noah kugongana uso kwa uso na lorry huko isuna mkoani singida,wahanga ikiwa ni mtoto mdogo mmoja na mbuzi 1(mnya
ma)
 

Attachments

  • 1390243738512.jpg
    1390243738512.jpg
    123.7 KB · Views: 133
  • 1390243759121.jpg
    1390243759121.jpg
    105.2 KB · Views: 130
Picha zaidi ajali ya isuna
 

Attachments

  • 1390244931915.jpg
    1390244931915.jpg
    43.4 KB · Views: 133
  • 1390244967601.jpg
    1390244967601.jpg
    93.7 KB · Views: 136
Back
Top Bottom