Ajali mbaya mkoani Singida: Watu kumi na tatu wafa papo hapo

Ajali ya treni na gari dsm
 

Attachments

  • 1390215450779.jpg
    1390215450779.jpg
    50.8 KB · Views: 203
Mwenyezi mungu awaweke mahali pema peponi kwa waliofariki dunia na kwa wale majeruhi awapatie nafuu.
 
Lakini, badala ya kumuomba Mungu kuwapa nguvu wafiwa ni kwa nini tusiwe pro-active kwa kumuomba Mungu huyo huyo kuwapa akili madereva wakaendesha vizuri!?

Mkuu omujubi vyombo vyetu vya kusimamia haya navyo pia vinalawama zake. Noah, pikipiki sidhani kama ni vyombo vya kutambulika kama gari ya kubeba abiria hii imechukuliwa kisiasa zaidi kuliko uhalisia.
 
Ewe mwenyezi Mungu uwapokee marehemu hawa.hatujui kama ni mapenzi yako au ni uzembe wa binadamu lakini UTUKUZWE ee Mungu uliye juu! Marehemu wote wapumzike kwa amani.AMINA.
 
Yawezekana chanzo ni mwendo mkali, manake hizo noah ni balaaa
 
Hizi noah zinaua sana siku hizi,bora zizuiliwe kubeba abiria cz hao madereva wake sidhani kama wana leseni za kubeba abiria(class c) na wameenda mafunzo ya udereva kwny vuo husika(n.i.t au veta).


suala sio madereva tuu...serikali ina uwezo kupitia sumatra..kuzuia kabisa usafiri wa gari za abiria kama Noah..hazifai...ni famli na private car..ikiwa criaz ajali na vifo vitakuwa ving...kwa sasa bara bara zinajengwa Noah zimavamia...singdia-dodoma-manyoni.. moshi arusha rombo na ss zimeanzza kutoka iringa dodoma kupita mtera.....sheria ipo moja tu...costa na mabasi ndio ya kusafrisha abria..hzi Noah mwisho abiria saba ss ona 13 wamekufa toka humo ndani,,,,na maafisa usalama barabarani wanajua hilo.sasa nini hapo...!! zibaki katika tours tu na tax basi....
 
Duuh.. Walazwe mahala pema pepon marehemu.. Na walioumia wapate afueni..

Lakini kwanini kunatokea sana ajali katika Mkoa wa Singida..?

Nami nilijiuliza swali hili hili.Barabara hii inahitaji maombi ya kuvunja roho zinazosababisha ajali mara kwa mara.
 
Singida iangaliwe kwa umakini mkubwa maana ni kero kubwa na madereva wenye mawenge wawe wanakamtwa haiwezekani unakuta dereva kawasha indicator moja wakati barabara inanyooka
 
Habari za kuaminika lori hilo lilikuwa linajaribu kulipita gari lingine(overtake) ndipo lilipokutana uso kwa uso na Noah hiyo iliyokuwa iko kwenye site yake kawaida na kuiparamia hadi kuipitia juu na Noah kusambaratika yote.
 
Back
Top Bottom