Lovebird
JF-Expert Member
- Sep 27, 2012
- 5,876
- 7,934
Hizo gari zimekuwa zikihusika kwenye ajali mara kwa mara, na nyingine unazikuta zimeegeshwa tu bara barani kwa muda mrefuKwanini mkuu?
Hizo gari zimekuwa zikihusika kwenye ajali mara kwa mara, na nyingine unazikuta zimeegeshwa tu bara barani kwa muda mrefuKwanini mkuu?
Hakuna aliye kulazimisha uaminii. RelaaaaaxxxxxDuu kwa mentality hizi wacha waafrika tudharauliwe.
Tatizo mifumo yetu haieleweki.Ila dunia ya leo jamani! Watu wanahangaika na maisha,wenzao wanapambana kuchukua tu video. Hatukatai umhimu wa taarifa hizo,lakini badhi wangepambana kuwakimbiza majeruhi hospitali
Acha lawama,hujasikiliza na kutazama hiyo video niyakuomba msaada,mnataka kuwa watu wa kulaumu kila kituIla dunia ya leo jamani! Watu wanahangaika na maisha,wenzao wanapambana kuchukua tu video. Hatukatai umhimu wa taarifa hizo,lakini badhi wangepambana kuwakimbiza majeruhi hospitali
Wana ajali nyingi, sina takwimu lakinimara nyingi kumekuwa na taarifa za ajali zinazohusisha malori ya hiyo kampuni.Kwanini mkuu?
Madereva ndo tatizoGari za Dangote, ivi zinahujumiwa ama ni madereva kuto kutii alama za barabarani ama gari zenyewe ni tatizo, ama wa kusini hawazipendi.... ama ama ...........
poleni mlokumbwa na changamoto