Dangote cement ni kampuni ya wanigeria wengi walionunua hisa soko la hisa Nigeria ila Dangote ndio mwenye hisa nyingi, watanzania tuige

Shotocan

JF-Expert Member
Nov 21, 2023
2,203
4,615
Mabilionea wakubwa ulimwenguni huanzisha kampuni anaikuza ikiwa kubwa na inafanya vizuri anaisajili soko la hisa na mitaji anauza mfano nusu yeye anabaki na nusu na kuwa main shareholder wa kampuni. Hii husaidia kampuni kupata mtaji mkubwa na kukua hadi kuwa kampuni kubwa ya kimataifa kama ilivyo Dangote cement.

Dangote cement ni kampuni ya wanigeria wengi walionunua hisa soko la hisa Nigeria ila Dangote ndio mwenye hisa nyingi watanzania tuige.

Matajiri wote wakubwa duniani wakiwemo akina Billy Gates ndio wanalivyofanya. Wao sio wamiliki pekee wa kampuni zao wao ni main shareholders.

Inanimate unakuta kampuni kubwa ya mswahili inakufa tu kienyeji kaikomalia yeye peke yake binafsi hadi inamfia mkononi. Wakati angeuza soko la hisa ikiwa vizuri lingeweza kuendelea na kupanuka hadi kimataifa. Roho wa kutaka faida yote ale mwenyewe pia unachangia ubahili wa kutopeleka kampuni iuze share sokoni.
 
Ndio njia pekee ya kuendelea kubaki kwenye utajiri wa vizazi. Lakin pia ukute serikali ni ile inayoruhusu nguvu ya soko ndio inaamua sio nguvu ya siasa hamfiki popote.
 
Ni wazo zuri sana lakini naona changomoto ya kwanza ni kutokuwa na uwazi wa kuendesha biashara watu wakihofia kabali za TRA na taasisi zingine za serikali.
 
Mabilionea wakubwa ulimwenguni huanzisha kampuni anaikuza ikiwa kubwa na inafanya vizuri anaisajili soko la hisa na mitaji anauza mfano nusu yeye anabaki na nusu na kuwa main shareholder wa kampuni. Hii husaidia kampuni kupata mtaji mkubwa na kukua hadi kuwa kampuni kubwa ya kimataifa kama ilivyo Dangote cement.

Dangote cement ni kampuni ya wanigeria wengi walionunua hisa soko la hisa Nigeria ila Dangote ndio mwenye hisa nyingi watanzania tuige.

Matajiri wote wakubwa duniani wakiwemo akina Billy Gates ndio wanalivyofanya. Wao sio wamiliki pekee wa kampuni zao wao ni main shareholders.

Inanimate unakuta kampuni kubwa ya mswahili inakufa tu kienyeji kaikomalia yeye peke yake binafsi hadi inamfia mkononi. Wakati angeuza soko la hisa ikiwa vizuri lingeweza kuendelea na kupanuka hadi kimataifa. Roho wa kutaka faida yote ale mwenyewe pia unachangia ubahili wa kutopeleka kampuni iuze share sokoni.
Ww ndio unajua leo. Pole kwa kuchelewa. Unafahamu maana ya public company na private company!!??
 
Mbna hata TANZANIA ipo hivyo ni vile wewe tu hujui
ila fatilia kampuni nyingi zipo hvyo na hiyo ndio sheria ya tanzaniana ni lazima ufanye hvyo
Hata wewe ukitaka unaweza kuwa mwanaHISA wa kampuni yoyote unayoijua kubwa hapa TANZANIA
 
Mabilionea wakubwa ulimwenguni huanzisha kampuni anaikuza ikiwa kubwa na inafanya vizuri anaisajili soko la hisa na mitaji anauza mfano nusu yeye anabaki na nusu na kuwa main shareholder wa kampuni. Hii husaidia kampuni kupata mtaji mkubwa na kukua hadi kuwa kampuni kubwa ya kimataifa kama ilivyo Dangote cement.

Dangote cement ni kampuni ya wanigeria wengi walionunua hisa soko la hisa Nigeria ila Dangote ndio mwenye hisa nyingi watanzania tuige.

Matajiri wote wakubwa duniani wakiwemo akina Billy Gates ndio wanalivyofanya. Wao sio wamiliki pekee wa kampuni zao wao ni main shareholders.

Inanimate unakuta kampuni kubwa ya mswahili inakufa tu kienyeji kaikomalia yeye peke yake binafsi hadi inamfia mkononi. Wakati angeuza soko la hisa ikiwa vizuri lingeweza kuendelea na kupanuka hadi kimataifa. Roho wa kutaka faida yote ale mwenyewe pia unachangia ubahili wa kutopeleka kampuni iuze share sokoni.
Mkuu ulikuwa hujui hilo? Mbona Tanzania kuna soko la hisa (stock exchange) siku nyingi na makampuni kibao yanauza hisa? La msingi ni kuwa na vigezo vinavyotakiwa, sio kila kampuni inaweza kuuza hisa zake kwenye soko la hisa, hususan kampuni inayokufa kama ulivyoeleza.
 
Ww ndio unajua leo. Pole kwa kuchelewa. Unafahamu maana ya public company na private company!!??
Najua vizuri ila Private companyi nyingi za Tanzania hazitaki kuwa Public Limited liability Companies yaani PLC

Wanataka tu zibaki za familia ndio maana nyingi hufa mumiliki akifa
 
Mbna hata TANZANIA ipo hivyo ni vile wewe tu hujui
ila fatilia kampuni nyingi zipo hvyo na hiyo ndio sheria ya tanzaniana ni lazima ufanye hvyo
Hata wewe ukitaka unaweza kuwa mwanaHISA wa kampuni yoyote unayoijua kubwa hapa TANZANIA
Kampuni nyingi zilizosajiliwa soko la hisa nyingi ni zile zilikuwa za serikali zikifanya vibaya zikaingia soko la hisa mfano CRDB,NMB,Tanzania Oxygen Limited,TBL nk
Naongelea kampuni Private owned by Individuals zinazofanya vizuri sana kibiashara hawataki labda mkawaelimishe wawe na ufahamu kama akina Dangote Billy Gates nk waone umuhimu wa kusajili kampuni zao masoko ya hisa
 
Ni wazo zuri sana lakini naona changomoto ya kwanza ni kutokuwa na uwazi wa kuendesha biashara watu wakihofia kabali za TRA na taasisi zingine za serikali.
Waendesha kichawi hiyo inazuia ukuaji wa kampuni kitaifq na kimataifa kwa sababu ya mtaji mdogo.
Kampuni serious kodi kwake sio issue sababu inakatwa kwenye income sio kwenye mtaji
 
Mabilionea wakubwa ulimwenguni huanzisha kampuni anaikuza ikiwa kubwa na inafanya vizuri anaisajili soko la hisa na mitaji anauza mfano nusu yeye anabaki na nusu na kuwa main shareholder wa kampuni. Hii husaidia kampuni kupata mtaji mkubwa na kukua hadi kuwa kampuni kubwa ya kimataifa kama ilivyo Dangote cement.

Dangote cement ni kampuni ya wanigeria wengi walionunua hisa soko la hisa Nigeria ila Dangote ndio mwenye hisa nyingi watanzania tuige.

Matajiri wote wakubwa duniani wakiwemo akina Billy Gates ndio wanalivyofanya. Wao sio wamiliki pekee wa kampuni zao wao ni main shareholders.

Inanimate unakuta kampuni kubwa ya mswahili inakufa tu kienyeji kaikomalia yeye peke yake binafsi hadi inamfia mkononi. Wakati angeuza soko la hisa ikiwa vizuri lingeweza kuendelea na kupanuka hadi kimataifa. Roho wa kutaka faida yote ale mwenyewe pia unachangia ubahili wa kutopeleka kampuni iuze share sokoni.
Hiyo kampuni ya simenti ni ndogo kwake, anayo kampuni kubwa sana ya kusafisha mafuta kuliko vyote Afrika, na anavyo viwanda vingine zaidi.
 
Back
Top Bottom