Ajali daraja la Kawe/Mlalakuwa

Ajali daraja la Kawe/Mlalakuwa

Mabelana

JF-Expert Member
Joined
Sep 17, 2010
Posts
524
Reaction score
207
Hiyo ajali nimeikuta pale gari imezama chini ya daraja sikupata info kwani nilikuwa nina haraka ya kuwahi kazini ila ni ajali mbaya sana.

attachment.php


attachment.php


_MG_8544G1.jpg


_MG_8518b1.jpg


_MG_8547H1.jpg


_MG_8559M1.jpg
 
Hiyo ajari nimeikuta pale gari imezama chini ya daraja sikupata info kwani nilikuwa nina haraka ya kuwahi kazini ila ni ajari mbaya sana.

Hivi tunakoelekea naona kiswahili kinakuwa kigumu kuliko kiingereza, maana naona makosa ya matamshi ya kiswahiki yanakuwa mengi sana. nadhani hii inatokana na shule za english medium ndio zimesababisha watu kutojua kiswahili fasaha. (ajali au ajari)?
 
Hivi tunakoelekea naona kiswahili kinakuwa kigumu kuliko kiingereza, maana naona makosa ya matamshi ya kiswahiki yanakuwa mengi sana. nadhani hii inatokana na shule za english medium ndio zimesababisha watu kutojua kiswahili fasaha. (ajali au ajari)?
Vyovyote utakuwa umeelewa kama hujaelewa jiue.
 
Nummy hata wewe ni mmoja ya wahanga hao unao wasema. Umeandika kiswahiki, nafikiri hapo neno sahihi ni kiswahili...
Ni hayo tu.....
 
Hivi tunakoelekea naona kiswahili kinakuwa kigumu kuliko kiingereza, maana naona makosa ya matamshi ya kiswahiki yanakuwa mengi sana. nadhani hii inatokana na shule za english medium ndio zimesababisha watu kutojua kiswahili fasaha. (ajali au ajari)?

Ritakuwa Riafande ra kure kwa ware warefu wa kabira ra wanaofagiria uaskari Mura.
 
Hivi tunakoelekea naona kiswahili kinakuwa kigumu kuliko kiingereza, maana naona makosa ya matamshi ya kiswahiki yanakuwa mengi sana. nadhani hii inatokana na shule za english medium ndio zimesababisha watu kutojua kiswahili fasaha. (ajali au ajari)?

ndugu hujui kuwa kiswahili ni kibantu?
 
Picha yake
 

Attachments

  • uploadfromtaptalk1387007242539.jpg
    uploadfromtaptalk1387007242539.jpg
    97.7 KB · Views: 6,994
Hivi tunakoelekea naona kiswahili kinakuwa kigumu kuliko kiingereza, maana naona makosa ya matamshi ya kiswahiki yanakuwa mengi sana. nadhani hii inatokana na shule za english medium ndio zimesababisha watu kutojua kiswahili fasaha. (ajali au ajari)?
ni kiswahili siyo kiswahiki
 
Nummy hata wewe ni mmoja ya wahanga hao unao wasema. Umeandika kiswahiki, nafikiri hapo neno sahihi ni kiswahili...
Ni hayo tu.....

Hehehehe, hii lugha ni utata hehehe. "Unafikiri hapo" au "bali" n.k.
 
Atakuwa alikuwa ameshapiga kinana za kutosha!!!
 
Hivi tunakoelekea naona kiswahili kinakuwa kigumu kuliko kiingereza, maana naona makosa ya matamshi ya kiswahiki yanakuwa mengi sana. nadhani hii inatokana na shule za english medium ndio zimesababisha watu kutojua kiswahili fasaha. (ajali au ajari)?

Unamkosoa mwenzio wakati wewe mwenyewe kuandika hujui
Hahahah,,,,,,,, soma vizuri ulivyoandika lol
Usitoe boriti kwenye jicho la mwenzio angalia kwako kwanza
eti kiswahiki badala ya kiswahili
 
Back
Top Bottom