Ajali daraja la Kawe/Mlalakuwa

Ajali daraja la Kawe/Mlalakuwa

Huyo atakuwa alilewa si bure..vijana wa kinondoni wanasifa sana wakilewa
 
Hivi tunakoelekea naona kiswahili kinakuwa kigumu kuliko kiingereza, maana naona makosa ya matamshi ya kiswahiki yanakuwa mengi sana. nadhani hii inatokana na shule za english medium ndio zimesababisha watu kutojua kiswahili fasaha. (ajali au ajari)?

Hii haisababishwi na shule za English medium. Ni athari ya lugha ya asili (mother tongue effect). Yako makabila yanashindwa kutofautisha kati ya l na r. Wizara ya elimu ikishirikiana na Baraza la Kiswahili ilitakiwa ione kuwa makosa haya hayafanyiki kwa kuwa na somo la oral Kiswahili na English ili kuwasahihisha wanafunzi. Since nobody cares unakuta hata walimu wakifanya makosa yaleyale. Mahafari badala ya mahafali; kula badala ya kura; madhala badala ya madhara na mengine mengi. Inatia kichefuchefu. Ukichunguza utakuta kwenye karibu makabila yote liko tatizo la kushindwa kutamka baadhi ya maneno sawasawa. Kwa ujio wa shule za kata ambapo mwanafunzi hana tena bahati ya kutoka alikozaliwa hali hii inazidinkuwa mbaya zaidi. Thupu badala ya supu. Jika badala ya rika na nji badala ya nchi. Fwagia hapa badala ya fagia hapa. Manyalia badala ya malaria etc.
 
Unamkosoa mwenzio wakati wewe mwenyewe kuandika hujui
Hahahah,,,,,,,, soma vizuri ulivyoandika lol
Usitoe boriti kwenye jicho la mwenzio angalia kwako kwanza
eti kiswahiki badala ya kiswahili

Hiyo ni typing error. It can be tolerated. Hata wewe umeandika 'lol' ambapo haijulikani ulitaka kumaanisha nini.
 
na ww mkuu mpambe kweli kweli yaani umepata muda wa kupiga picha kwa ufundi namna hii kama issa michuzi ila umekosa muda wa kuuliza nini kilitokea
 
owkey owkey......RIP kijana.......hilo gari wakati waJapani wanalitengeneza walilipa jina gani........?
 
Hivi tunakoelekea naona kiswahili kinakuwa kigumu kuliko kiingereza, maana naona makosa ya matamshi ya kiswahiki yanakuwa mengi sana. nadhani hii inatokana na shule za english medium ndio zimesababisha watu kutojua kiswahili fasaha. (ajali au ajari)?

Kiswahiki ndo nini na wewe?
 
Hivi tunakoelekea naona kiswahili kinakuwa kigumu kuliko kiingereza, maana naona makosa ya matamshi ya kiswahiki yanakuwa mengi sana. nadhani hii inatokana na shule za english medium ndio zimesababisha watu kutojua kiswahili fasaha. (ajali au ajari)?
Hiyo ni mutu ya Kenya inaandikaga ivo ujue. Mitu nyingi ya Kenya hapana kujua Kiswahili muzuli ati. Musamehe muzee, hata Ojwang iko anajua, Mulira kaongelea sijui nini iko kusema Kiswahili ya East African Community iko anakaa vipi siku ya mbeleni.
 
Hii haisababishwi na shule za English medium. Ni athari ya lugha ya asili (mother tongue effect). Yako makabila yanashindwa kutofautisha kati ya l na r. Wizara ya elimu ikishirikiana na Baraza la Kiswahili ilitakiwa ione kuwa makosa haya hayafanyiki kwa kuwa na somo la oral Kiswahili na English ili kuwasahihisha wanafunzi. Since nobody cares unakuta hata walimu wakifanya makosa yaleyale. Mahafari badala ya mahafali; kula badala ya kura; madhala badala ya madhara na mengine mengi. Inatia kichefuchefu. Ukichunguza utakuta kwenye karibu makabila yote liko tatizo la kushindwa kutamka baadhi ya maneno sawasawa. Kwa ujio wa shule za kata ambapo mwanafunzi hana tena bahati ya kutoka alikozaliwa hali hii inazidinkuwa mbaya zaidi. Thupu badala ya supu. Jika badala ya rika na nji badala ya nchi. Fwagia hapa badala ya fagia hapa. Manyalia badala ya malaria etc.

Roli badala ya lori, safuri badala ya sufuria, maralia badala ya malaria
 
Sasa watu na masikitiko yao wamegeuzwa focus kuelekea Kiswahili badala ya ajali yenyewe. Ni huzuni kweli kwa sababu Novemba mpaka Februali mtu anapaswa kusafiri kwa sababu ni lazima asafiri, historia inaonyesha kwamba kila mwaka katika miezi hiyo ndio msimu wa mavuno watu. Mungu na atuepushie majanga haya maana tunapoteza nguvukazi nyingi mno na wapendwa ambaokuwapo kwao ilikuwa muhimu sana. Ilikuwaje hadi kutokea hayo jamani?
 
Hivi tunakoelekea naona kiswahili kinakuwa kigumu kuliko kiingereza, maana naona makosa ya matamshi ya kiswahiki yanakuwa mengi sana. nadhani hii inatokana na shule za english medium ndio zimesababisha watu kutojua kiswahili fasaha. (ajali au ajari)?

Matamshi ya kiswahiki ndio yapi mkuu?
 
Miezi ya nenda kwa usalama hii..drive slow..!
 
Hivi tunakoelekea naona kiswahili kinakuwa kigumu kuliko kiingereza, maana naona makosa ya matamshi ya kiswaHIKI yanakuwa mengi sana. nadhani hii inatokana na shule za english medium ndio zimesababisha watu kutojua kiswahili fasaha. (ajali au ajari)?

mbona we umeandika kiswahiki badala ya kiswahili tumekuelewa?
 
Hivi tunakoelekea naona kiswahili kinakuwa kigumu kuliko kiingereza, maana naona makosa ya matamshi ya kiswahiki yanakuwa mengi sana. nadhani hii inatokana na shule za english medium ndio zimesababisha watu kutojua kiswahili fasaha. (ajali au ajari)?
bado hujajua anatoka mkoa gani?
hapo amejitahidi kuwa makini wakati wa kuandika.
Angeandika "Hajari" sijui ungesemaje?Ila yuko vizuri kwenye kiingereza kwa kuwa mkoa wake unapakana na nchi anayoiongoza Museveni.
 
Back
Top Bottom