jMali
JF-Expert Member
- Nov 9, 2010
- 8,412
- 5,013
Hivi tunakoelekea naona kiswahili kinakuwa kigumu kuliko kiingereza, maana naona makosa ya matamshi ya kiswahiki yanakuwa mengi sana. nadhani hii inatokana na shule za english medium ndio zimesababisha watu kutojua kiswahili fasaha. (ajali au ajari)?
elewa kwa watanzania wengi bado kiswahili ni lugha ya pili baada ya lugha zetu za asili, makosa kama hayo ni kawaida tu. Hata marekani na uingereza viingereza vinatofautiana kulingana na mahali watu wametoka, cha muhimu ujumbe kufika!