Ajali daraja la Kawe/Mlalakuwa

Ajali daraja la Kawe/Mlalakuwa

Hivi tunakoelekea naona kiswahili kinakuwa kigumu kuliko kiingereza, maana naona makosa ya matamshi ya kiswahiki yanakuwa mengi sana. nadhani hii inatokana na shule za english medium ndio zimesababisha watu kutojua kiswahili fasaha. (ajali au ajari)?

BAKITA wamelala usingizi, Ina kera jinsi Kiswahili kinavyoharibiwa kila uchao!
 
Nimefuatilia post zote hakuna hata mmoja aliyeeleza chanzo cha ajali au hata majina ya waliokufa,zaidi watu wanapiga porojo tu! Nawaombeni watu wanaopenda porojo waende jukwaa la chit chat haya mambo mengine ni facts na yanahitaji kuelezwa kwa ukweli na uhalisia. It is boring, page 4 hakuna cha maana kilichoandikwa.

aliyepata ajal anaitwa Max huwa anafanyakaz pale uhuru peak na walikuwa wawili ila yule abiria amepona. ni mshikaj wetu. tumempeleka mwananyamala so tunajiandaa kwenda kumzika rombo kwao. hakutoka club kama mnavyomtuhum walikuwa wanamtoto wa mjomba yao alikuwa amegraduet so alikuwa amempeleka shangaz yake nyumban kwao tegeta ndio alikuwa anarud.
 
Hiyo ajali nimeikuta pale gari imezama chini ya daraja sikupata info kwani nilikuwa nina haraka ya kuwahi kazini ila ni ajali mbaya sana.

attachment.php


attachment.php


_MG_8544G1.jpg


_MG_8518b1.jpg


_MG_8547H1.jpg


_MG_8559M1.jpg
Hata mie nilipita hapo nikaona maiti mbili.
 
Vyovyote utakuwa umeelewa kama hujaelewa jiue.

Achana na Wehu hao. Yeye mwenyewe Kiswahili tatizo. AJIUE!
Thanks for the habari. Hapo palipotokea ajali ni karibu sana na ukweni. Wife alinambia atachelewa kufika kwao, kuna ajali imetokea darajani, sikuamini sana. nilijua changa la macho. kumbe kweli. WIVU! utaniua. Ukizingatia na silaha ya moto!!!!
Elleuuuuwiiii
 
hivi kuna aliyeweza itambua ilikua gari aina gani hii? :A S 39:
 
Miezi kadhaa iliyopita alikufa mmiliki wa Bar maarufu pembeni ya Uhuru Peak leo Maxi wa Uhuru Peak! Duh!
 
Hili daraja kwakweli linaitaji kuangaliwa kiuangalifu zaidi ni jinsi gani linaweza kua safer kwa jamii. Dis weekend iliingia noah pale katikati ikawa kama kajibox flani maana pia ajali yake ilikua ni mbaya sana. Ckuweza kujua kama kuna watu wamepoteza maisha ila kwa the way ile gari nilivyoiona dereva sidhani kama alipona.
 
BAKITA wamelala usingizi, Ina kera jinsi Kiswahili kinavyoharibiwa kila uchao!

Yani nyani haoni kundule,
kiswahiki = kiswahili?,
Wewe na unaemsema baba mmoja mama mmoja ila uliibiwa hospitali
 
Usimlamu mtu yeyoye kwa kupata au kusababisha ajali regardless alikuwa kwenye situation gani.
Usimlaumu mtu yeyote kwa kusabisha ajali regardless alikuwa kwenye situation gani? Are you crazy? Kwa hiyo kama mtu yuko kwenye situation ya ulevi, kwa mfano, kasababisha ajali asilaumiwe?
 
Hili daraja kwakweli linaitaji kuangaliwa kiuangalifu zaidi ni jinsi gani linaweza kua safer kwa jamii. Dis weekend iliingia noah pale katikati ikawa kama kajibox flani maana pia ajali yake ilikua ni mbaya sana. Ckuweza kujua kama kuna watu wamepoteza maisha ila kwa the way ile gari nilivyoiona dereva sidhani kama alipona.

Hilo daraja ni aina ya BAILEY ambayo ni ya muda/dharura na mara nyingi humilikiwa na Jeshi. Hiyo dharura iko hapo zaidi ya miaka 20!

The Bailey bridge is a type of portable, pre-fabricated, trussbridge. It was developed by the British during World War II for military use and saw extensive use by both British and the American military engineering units.

A Bailey bridge had the advantages of requiring no special tools or heavy equipment to construct. The wood and steel bridge elements were small and light enough to be carried in trucks and lifted into place by hand, without requiring the use of a crane. The bridges were strong enough to carry tanks. Bailey bridges continue to be extensively used in civil engineering construction projects and to provide temporary crossings for foot and vehicle traffic.
 
Hivi tunakoelekea naona kiswahili kinakuwa kigumu kuliko kiingereza, maana naona makosa ya matamshi ya kiswahiki yanakuwa mengi sana. nadhani hii inatokana na shule za english medium ndio zimesababisha watu kutojua kiswahili fasaha. (ajali au ajari)?

Amesha-edit hapo.
 
Hivi tunakoelekea naona kiswahili kinakuwa kigumu kuliko kiingereza, maana naona makosa ya matamshi ya kiswahiki yanakuwa mengi sana. nadhani hii inatokana na shule za english medium ndio zimesababisha watu kutojua kiswahili fasaha. (ajali au ajari)?

Huyu atakuwa mkurya
 
Back
Top Bottom