Tabutupu
JF-Expert Member
- Nov 26, 2010
- 13,114
- 18,337
Kulikua na sheria mabasi yote yanayo safiri umbali zaidi ya Km 500 kuwa na madereva wawili.
Lakini pia utakuta dereva jana kalala na kimada na kachelewa kulala. Wote mnajua mapenzi yanavyo maliza nguvu lazima usinzie.
Pia unakuta kwa route ndefu kama hizi dereva anaunga wiki nzima yupo barabarani.
Ajali nyingi zinatokana na mambo ya fuatayo
1. Ubovu wa magari: mabasi kuto fanyiwa servive inavyo takiwa na sijawahi ona traffic wakikagua zile kazi za service.
2. Madereva kuchoka: ni mara chache sana k
Kwa route ndefu kuona madereva wanapokezana na sijawahi ona traffic wakikagua hilo. Mfano route toka mbeya lazima iwe na madereva wawili.
3. Abiria: abiria wapumbavu ambao wanajifanya wanataka kuwahi. Siku moja kidogo nimtukanw mzew mmoja kwa hekima nikamwelekeza kwamba wenzake wenye haraka qana magari yao au wanakqea pipa.
Lakini pia utakuta dereva jana kalala na kimada na kachelewa kulala. Wote mnajua mapenzi yanavyo maliza nguvu lazima usinzie.
Pia unakuta kwa route ndefu kama hizi dereva anaunga wiki nzima yupo barabarani.
Ajali nyingi zinatokana na mambo ya fuatayo
1. Ubovu wa magari: mabasi kuto fanyiwa servive inavyo takiwa na sijawahi ona traffic wakikagua zile kazi za service.
2. Madereva kuchoka: ni mara chache sana k
Kwa route ndefu kuona madereva wanapokezana na sijawahi ona traffic wakikagua hilo. Mfano route toka mbeya lazima iwe na madereva wawili.
3. Abiria: abiria wapumbavu ambao wanajifanya wanataka kuwahi. Siku moja kidogo nimtukanw mzew mmoja kwa hekima nikamwelekeza kwamba wenzake wenye haraka qana magari yao au wanakqea pipa.