Aja na chupi nane

Aja na chupi nane

Watoto pori w'end hii mmecharuka hasa sijui muda wa kuchunga ng'ombe na kupalilia mikorosho mnaupata saa ngapi kutwa mnatunanga hapa JF mmechukua tabia za dada zenu sasa.
Ila tukija mikoani mnaufyata vibaya mno kazi yenu kubwa ni ukuwadi kutulazimisha tuwatafune dada zenu utawasikia "Uyu anaitwa Mack katoka Dar amekuja kikazi mara 1" hapo hawapindui analiwa free kaka mtu anaambulia bia kadhaa kipindi kinajifunga ila kwenye keyboard mnajifanya mashujaa karibuni Dar mufute ujinga mazwazwa nyinyi.
 
Mtu akiwa msafi kosa,kwa kua wewe unavaa chupi moja wiki ndio maana umeona ajabu,zingatia usafi utakuja kupata fangasi za map.mbu..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hivi wanaume wa Dar nani aliyewaroga?

Jamaa kaja home kukaa siku mbili tu kaja na chupi nane hadi nikashtuka, nikajiuliza jamaa anableed au?

Yani wanaume wa Dar ni hasara kwa Taifa.
Usitukosee adabu wanaume wa Daslamu hatuvai chupi, tunavaa boxer au pensi tena as heshima, chupi anavaa mwanamke, msenge kweli yaani.
 
Ukiona hivyo jamaa anatarajia shoo bab kubwa na yawezekana ni usafi tu, anyways Demiss nmefurahia uwepo wako

KAABAD THE GREATEST
 
Kama alizinunulia hapo njiani unajuaje?? Ukaenda kabisa kabisa kuzihesabu?? Ilikuwaje?? Kama alizianika huenda anatumiaga kwa muda ndo afue na siku anaondoka ndo ilikuwa ya kufua
Msemaji wa Wanaume wa Dar (MWADAR )

#utakula kiburi yako.
 
Dada wa mkoani
Screenshot_2018-09-02-17-04-03-1.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom