Carnivora
JF-Expert Member
- Jan 26, 2018
- 3,650
- 6,028
Ata haykui meusi, mimi sitoagi mijasho, sijui vikwapa ata manyoa kwapani yakuhesabu sana, sijawahi yanyoa. Midume minene ndiyo inanuka sana.Ikija kufuliwa maji yanakua meusi tiii ........wewe ndo mwanaume sasa
sio mwanaume unakuwa msafi msafi unavaa boxer nyeupe peeee ......mh
Sent using Jamii Forums mobile app
We unavaa chupi nane ndani ya siku mbili?
Mimi mwanaume. Sivai chupi na sina chupi hata moja.We unavaa chupi nane ndani ya siku mbili?
Nilkuwa nimeagiza sabuni acha nipotezeeIkija kufuliwa maji yanakua meusi tiii ........wewe ndo mwanaume sasa
sio mwanaume unakuwa msafi msafi unavaa boxer nyeupe peeee ......mh
Sent using Jamii Forums mobile app
Umeniwahi madameUkawa unamhesabia na nguo za ndani kabisa??? Aheri ungekufa nayo moyoni
Huu ndio uanaume na kuna muda zote tatu chafu unaanza kunusa nusa walau ipi ina afadhali na kuivaaBinafsi sikumbuki lini nilivaa chupi, boksa zenyewe ninazo 3 tu, kila moja invaliwa one wiki kabla ya kufuliwa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi wanaume wa Dar nani aliyewaroga?
Jamaa kaja home kukaa siku mbili tu kaja na chupi nane hadi nikashtuka, nikajiuliza jamaa anableed au?
Yani wanaume wa Dar ni hasara kwa Taifa.
Aisee naona mmeshashiba maboga sasa
Hawa wanawake wa siku hizi nao malofa tu. Sasa ye anahesabu tu nguo za ndani. Ukiambiwa mchawi utakataa?Umeniwahi madame
Hahahahahh..! Niliwahi fanya hivyo nilikuwa sikumbuki ipi ni safi nikawa nanusa kiaina hadi nikapata moja mbili zikagundulika kuvaliwa.Huu ndio uanaume na kuna muda zote tatu chafu unaanza kunusa nusa walau ipi ina afadhali na kuivaa
Hahahha duh hii kweli mkuu,kumbe tuko wengi khaa..!!Huu ndio uanaume na kuna muda zote tatu chafu unaanza kunusa nusa walau ipi ina afadhali na kuivaa
Unaona sifa kabisa kuvaa boxer wiki nzima!!!! Nyie ndo mnawapa tabu watu kwenye publics. Halafu unajisifu kabisa na kuna watu wanakuchekea! Shenzz typeBinafsi sikumbuki lini nilivaa chupi, boksa zenyewe ninazo 3 tu, kila moja invaliwa one wiki kabla ya kufuliwa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wakuu mnasifiana uchafu...hata kama ndo uanaume mazeeIkija kufuliwa maji yanakua meusi tiii ........wewe ndo mwanaume sasa
sio mwanaume unakuwa msafi msafi unavaa boxer nyeupe peeee ......mh
Sent using Jamii Forums mobile app
Leo tu asubuhi nimefanya huo ujinga.Hahahha duh hii kweli mkuu,kumbe tuko wengi khaa..!!
Hahahahaha haya bhn mambo ya vyupi vya wanaume mm sijuiMimi sikumbuki ata tofauti ya chupi za kike na kiume, nina boksa zangu 3, zinapeana zamu wiki moja mpk mbili kabla ya kufuliwa na kupewa likizo fupi ya wiki 2.
Sent using Jamii Forums mobile app