kaka ukiskia wanawake ndo hao, hata umpe nini bado atakusaliti mchana kweupee sijui mioyo yao ikoje.
Nakushauri tulia kwanza wala usiendelee nae jifunze kumkosa bila hivyo utashangaa umemsamehe leo kesho anapigwa tena gem na mtu mwingine hapo utaumia zaidi. Vuta subra pata nafasi ya kumuomba mungu akujaalie ustahimilivu yataisha tu hasa kwa kuwa yanawakuta watu wengi wewe sio wa kwanza wala hautakuwa wa mwisho, ukitulia mapenzi mapya yatachipua moyoni mwako na utafurahi tena