Aisee Ushuhuda wa macho unauma sana jamani!

Inauma sana mkuu haswa nikifikiria nilivyompenda,kumjali na kumthamini!nimemvumilia takriban miezi mi3 bila kusex nae kwasababu ya maradhi yaliokua yakimsumbua hatima kapona badala yakujakunionyesha mm kuwa kapona anaendakumuonyesha mwingine duh!
hongera sana brother.. una moyo sana 3 month bila kwich kwichii dah vjana wa kudaslam ebu igen mfano huo basi
 
Habari wana jf,hapa nilipo nipo hoi kwa maumivu yakutendwa! Nibaada yakuwa mbali na maumivu haya kwa takriban mwaka na nusu hatimae leo nimefumania girl wangu akiwa katik pozi za kimahaba akitoka guest na mshikaji mwingine,aisee nilikua shocked sana but nilivumilia ili nione mwisho wao.

Hatimae wametokomea nakuniacha nikiwa nimechanganyikiwa.Nimempigia simu kumuuliza ananiambia sababu nimm coz tulikwaruzana kidogo nikamwambia nimetafuta girl mwingine anaenijali ndo akaamua kumtafuta huyo.

Mh!within two days tayari kishapata mbadala wangu!

Naumia sana na kwasasa nafikiri kuwa mbali na wanawake kwa muda kidogo ili akili ikae sawa.

Kitu kinachonikera kwasasa ni sms zake za kilaghai akidai eti bado ananipenda.

AMAKWELI MAPENZ HAYANA MWENYEWE!
Mkuki kwa ngurue,kwa bnadam mchungu..usilopenda kutendewa ucltende,ww ulvyompa taarfa kuwa umepata gal mwngne na unampenda ultegemea nn!?ultaka mwenzako aendelee kusubir meli airport!!?
 
Mwanaume akichepuka anachepuka kwa ajili ya sexy tuu na hiyo sio hatari sana ila mke akichepuka ni mbaya yaani anachepuka na Upendo wa moyoni wote ni hatari sana anatafuta mtu ambaye anakucover nafasi yako kwa kila kitu na hii ndio mbaya zaidi ya sexy.
 
Siku hizi ukitishia kidogo 2 mwenzio anafanya kweli maana unakuta kulikuwa na kafoleni nyuma kanasubiria replacement
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom