pole sana yatakwishaaaaa dedication jipe moyooo
Inauma sana mkuu haswa nikifikiria nilivyompenda,kumjali na kumthamini!nimemvumilia takriban miezi mi3 bila kusex nae kwasababu ya maradhi yaliokua yakimsumbua hatima kapona badala yakujakunionyesha mm kuwa kapona anaendakumuonyesha mwingine duh!
Duh ni hatari mkuu haya mapenz hayana maana
Mapenzi yana maana sana ila wewe ndo umekosea step...
BOMBAY;
uliambiwa maradhi yake yalikwisha?? Ni maradhi gani hayo na yalimpataje mpaka dr akamwambia dawa ni kukunyima sex??Ulipomtishia una mwingine ni baada ya kunyimwa upuuzi huo?? Pole, hata miye nakushauri kuachana na mwanamke yeyote mpaka ukomae kidogo. Huenda wa kwako hajakua.
Nampenda sana lara 1but she have nothing to do with my heart, but My all feelings is there to Lara 1.Duh kama hujawai kupenda vile!