Mshawa
JF-Expert Member
- Sep 6, 2011
- 776
- 306
pole mkuu, tena mbaya zaid ujapiga dah
Wewe ni mkorofi mkuu umejuaje hajapiga!!?
pole mkuu, tena mbaya zaid ujapiga dah
Ha ha ha haaaa asante.Usitishie kujamba huku wajua unaharisha
Habari wana jf,hapa nilipo nipo hoi kwa maumivu yakutendwa! Nibaada yakuwa mbali na maumivu haya kwa takriban mwaka na nusu hatimae leo nimefumania gal wangu akiwa ktk poz za kimaha akitoka guest na mshikaji mwingine,aisee nilikua shocked sana but nilivumilia ili nione mwisho wao,hatimae wametokomea nakuniacha nikiwa nimechanganyikiwa.nimempigia cm kumuuliza ananiambia sababu nimm coz tulikwaruzana kidogo nikamwambia nimetafuta gal mwingine anaenijali ndo akaamua kumtafuta huyo.Mh!within two days tayari kishapata mbadala wangu!Naumia sana na kwasas nafikiri kuwa mbali na wanawake kwa muda kidogo ili akili ikae sawa.Kitu kinachonikera kwasasa ni sms zake za kilaghai akidai eti bado ananipenda.AMAKWELI MAPENZ HAYANA MWENYEWE!
you made my day 100xUsitishie kujamba huku wajua unaharisha
Habari wana jf,hapa nilipo nipo hoi kwa maumivu yakutendwa! Nibaada yakuwa mbali na maumivu haya kwa takriban mwaka na nusu hatimae leo nimefumania gal wangu akiwa ktk poz za kimaha akitoka guest na mshikaji mwingine,aisee nilikua shocked sana but nilivumilia ili nione mwisho wao,hatimae wametokomea nakuniacha nikiwa nimechanganyikiwa.nimempigia cm kumuuliza ananiambia sababu nimm coz tulikwaruzana kidogo nikamwambia nimetafuta gal mwingine anaenijali ndo akaamua kumtafuta huyo.Mh!within two days tayari kishapata mbadala wangu!Naumia sana na kwasas nafikiri kuwa mbali na wanawake kwa muda kidogo ili akili ikae sawa.Kitu kinachonikera kwasasa ni sms zake za kilaghai akidai eti bado ananipenda.AMAKWELI MAPENZ HAYANA MWENYEWE!
kaka ukiskia wanawake ndo hao, hata umpe nini bado atakusaliti mchana kweupee sijui mioyo yao ikoje.
Nakushauri tulia kwanza wala usiendelee nae jifunze kumkosa bila hivyo utashangaa umemsamehe leo kesho anapigwa tena gem na mtu mwingine hapo utaumia zaidi. Vuta subra pata nafasi ya kumuomba mungu akujaalie ustahimilivu yataisha tu hasa kwa kuwa yanawakuta watu wengi wewe sio wa kwanza wala hautakuwa wa mwisho, ukitulia mapenzi mapya yatachipua moyoni mwako na utafurahi tena
Wewe ni mkorofi mkuu umejuaje hajapiga!!?