Depal
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 47,160
- 188,655
Funzadume mpunga kitenesi ndio nini? 😆😆Ungekua na mke hiyo hela mngekula kuanzia asubuhi mpk usiku. Acha kula magengeni oa mke angenunua nusu kila ya nyama ingekula supu mchana mpunga kitenesi usiku pilau la kizushi
Mabachela mnafeli sana