Pain killer
JF-Expert Member
- Aug 15, 2017
- 14,096
- 21,233
Daaa
Sijui ni anasa
Nimekula supu ya 3000/= bakuri kubwa kabisa, chapati 3(900/=)
Tamaa zikaja, nikaagiza juice ya matunda ya baridi hapa 1,000/= maji ya baridi 1,000/=
Nikanunua vocha ya 1000/=
Daa nimerudia matumizi yote sijaona nilipokosea kabisa, ila hela kubwa sanaa hio.
Bado mchana sijala, usiku bado, bado kuna mpira jioni Man Utd inabidi nikaangalie (hapa inabidi niwe natumia mo energy ya baridi nikiwa naangalia mpira hakuna namna)
Aisee inabidi leo nisimpigie demu wangu simu kabisa, asije nipiga mwiba mwingine!
Nilikuwa nimejiwekea kwa siku nisitumie zaidi ya 5000/= ndani ya uchumi huu wa Magufuli(kazi za kuunga unga) naona mipango inafeli kabisa
Uzi tayar
Sijui ni anasa
Nimekula supu ya 3000/= bakuri kubwa kabisa, chapati 3(900/=)
Tamaa zikaja, nikaagiza juice ya matunda ya baridi hapa 1,000/= maji ya baridi 1,000/=
Nikanunua vocha ya 1000/=
Daa nimerudia matumizi yote sijaona nilipokosea kabisa, ila hela kubwa sanaa hio.
Bado mchana sijala, usiku bado, bado kuna mpira jioni Man Utd inabidi nikaangalie (hapa inabidi niwe natumia mo energy ya baridi nikiwa naangalia mpira hakuna namna)
Aisee inabidi leo nisimpigie demu wangu simu kabisa, asije nipiga mwiba mwingine!
Nilikuwa nimejiwekea kwa siku nisitumie zaidi ya 5000/= ndani ya uchumi huu wa Magufuli(kazi za kuunga unga) naona mipango inafeli kabisa
Uzi tayar