BarajaMkush
JF-Expert Member
- Dec 28, 2015
- 1,633
- 2,946
Hapa bado kideo kinaonyesha mchele mchele.Hivi pato wastani la mtanzania ni kiasi gani kwa siku???
Hapa bado kideo kinaonyesha mchele mchele.Hivi pato wastani la mtanzania ni kiasi gani kwa siku???
Dah...kwa bajeti hii.... lazima umng'oe mtu humuAsubuhi - Vipande2 vya mkate na chai
Mchana - Mayai2 ya kuchemsha na
Usiku - Kiazi kitamu na mtindi glas1
Mkaa, mafuta,sukari umesahauMbona 5000 ingetosha kabisa kula vyote hvoo..
Ngano robo 300 ( nilipo kg ni 1200)
Nyama robo 1500( nilipo kg ni 6000)
Parachichi na embe 1000( kwaajili ya juice)
Maji 1000
Vocha 1000
Jumla =4800/=
Kwenye 7000 umesave 2200 .
Suluhisho ni kuoa, japokuwa unaweza kuona ni ujinga,Daaa
Sijui ni anasa
Nimekula supu ya 3000/= bakuri kubwa kabisa, chapati 3(900/=)
Tamaa zikaja, nikaagiza juice ya matunda ya baridi hapa 1,000/= maji ya baridi 1,000/=
Nikanunua vocha ya 1000/=
Daa nimerudia matumizi yote sijaona nilipokosea kabisa, ila hela kubwa sanaa hio.
Bado mchana sijala, usiku bado, bado kuna mpira jioni Man Utd inabidi nikaangalie (hapa inabidi niwe natumia mo energy ya baridi nikiwa naangalia mpira hakuna namna)
Aisee inabidi leo nisimpigie demu wangu simu kabisa, asije nipiga mwiba mwingine!
Nilikuwa nimejiwekea kwa siku nisitumie zaidi ya 5000/= ndani ya uchumi huu wa Magufuli(kazi za kuunga unga) naona mipango inafeli kabisa
Uzi tayar
Labda aoe, ila akiwa peke yake uvivu utampata hatapika.Nunua fungu la viazi vitamu na mchicha, ukichemsha mchana unaweza kupita kwa 3,000.
Hizo ni anasa mkuu...Ungenunua Muhogo wa 100 miwili na chai ya mia!! Jumla 300 na Maji ya kwao yale ya kwenye jagi...Vocha ungenunua ya jefero.(Tsh 500).Daaa
Sijui ni anasa
Nimekula supu ya 3000/= bakuri kubwa kabisa, chapati 3(900/=)
Tamaa zikaja, nikaagiza juice ya matunda ya baridi hapa 1,000/= maji ya baridi 1,000/=
Nikanunua vocha ya 1000/=
Daa nimerudia matumizi yote sijaona nilipokosea kabisa, ila hela kubwa sanaa hio.
Bado mchana sijala, usiku bado, bado kuna mpira jioni Man Utd inabidi nikaangalie (hapa inabidi niwe natumia mo energy ya baridi nikiwa naangalia mpira hakuna namna)
Aisee inabidi leo nisimpigie demu wangu simu kabisa, asije nipiga mwiba mwingine!
Nilikuwa nimejiwekea kwa siku nisitumie zaidi ya 5000/= ndani ya uchumi huu wa Magufuli(kazi za kuunga unga) naona mipango inafeli kabisa
Uzi tayar
Akikosa hela ya chapati atapika tu na vyombo ataosha.Labda aoe, ila akiwa peke yake uvivu utampata hatapika.
Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
Wacha 7000 Mkuu, ukitoka na laki hurudi nayo nyumbani...hii Serikali ya Kihutu ina majini ya kuiba hela wala si mzahaDaaa
Sijui ni anasa
Nimekula supu ya 3000/= bakuri kubwa kabisa, chapati 3(900/=)
Tamaa zikaja, nikaagiza juice ya matunda ya baridi hapa 1,000/= maji ya baridi 1,000/=
Nikanunua vocha ya 1000/=
Daa nimerudia matumizi yote sijaona nilipokosea kabisa, ila hela kubwa sanaa hio.
Bado mchana sijala, usiku bado, bado kuna mpira jioni Man Utd inabidi nikaangalie (hapa inabidi niwe natumia mo energy ya baridi nikiwa naangalia mpira hakuna namna)
Aisee inabidi leo nisimpigie demu wangu simu kabisa, asije nipiga mwiba mwingine!
Nilikuwa nimejiwekea kwa siku nisitumie zaidi ya 5000/= ndani ya uchumi huu wa Magufuli(kazi za kuunga unga) naona mipango inafeli kabisa
Uzi tayar
Kumbe basi wanalipwa hela ya supu na chapati😂7000 /buku saba ni posho ya wenzio wanalipwa kwa siku wale vijana wa Lumumba
Kina digba sowey,magu2016,elitwege,nk
Mkuu huku tumepigika 7,000 ujue mtaji huo?Daaa
Sijui ni anasa
Nimekula supu ya 3000/= bakuri kubwa kabisa, chapati 3(900/=)
Tamaa zikaja, nikaagiza juice ya matunda ya baridi hapa 1,000/= maji ya baridi 1,000/=
Nikanunua vocha ya 1000/=
Daa nimerudia matumizi yote sijaona nilipokosea kabisa, ila hela kubwa sanaa hio.
Bado mchana sijala, usiku bado, bado kuna mpira jioni Man Utd inabidi nikaangalie (hapa inabidi niwe natumia mo energy ya baridi nikiwa naangalia mpira hakuna namna)
Aisee inabidi leo nisimpigie demu wangu simu kabisa, asije nipiga mwiba mwingine!
Nilikuwa nimejiwekea kwa siku nisitumie zaidi ya 5000/= ndani ya uchumi huu wa Magufuli(kazi za kuunga unga) naona mipango inafeli kabisa
Uzi tayar