Neurologist
JF-Expert Member
- Nov 5, 2020
- 518
- 1,295
Tena ni very health compared to those supu na chapatiNunua fungu la viazi vitamu na mchicha, ukichemsha mchana unaweza kupita kwa 3,000.
Tena ni very health compared to those supu na chapatiNunua fungu la viazi vitamu na mchicha, ukichemsha mchana unaweza kupita kwa 3,000.
Ndio maana watumishi wa umma huwa wanasinzia sana maofisini, yani ukitaka huduma atakwambia mtandao upo chini kisa yeye kashashiba ndii anasinzia tu yaaniKuna sehemu moja hapa karibu na ushirika towers, kuna mgahawa wa wadada wa kichaga, wanaingia watumishi wa umma na maofisi ya pale jirani kunywa chai, lunch...
Pale ndio utajua watu wanakula mzee, supu ya samaki/sangara/sato au kuku, chapati mbili, mayai ya kukaanga, chai ya maziwa. Akimaliza anachukua juice nzito ya 2,000 na maji ya 1,000.
Hawajui, mchemsho wa kuku ni sh 6,000, ongeza chapati 2 zilizochanganywa na mayai 2, juice ya buku na maji ya kubeba mkononi.Kuna sehemu moja hapa karibu na ushirika towers, kuna mgahawa wa wadada wa kichaga, wanaingia watumishi wa umma na maofisi ya pale jirani kunywa chai, lunch...
Pale ndio utajua watu wanakula mzee, supu ya samaki/sangara/sato au kuku, chapati mbili, mayai ya kukaanga, chai ya maziwa. Akimaliza anachukua juice nzito ya 2,000 na maji ya 1,000.
Nipe budget yako kwa siku basi😂😂
Ova
Pale Pain killer inapozidisha maumivu badala ya kuyaondoa ndio shida inapoanzia.Daaa
Sijui ni anasa
Nimekula supu ya 3000/= bakuri kubwa kabisa, chapati 3(900/=)
Tamaa zikaja, nikaagiza juice ya matunda ya baridi hapa 1,000/=.,maji ya baridi 1,000/=
Nikanunua vocha ya 1000/=
Daa nimerudia matumizi yote sujaona nilipokosea kabisa, ila hela kubwa sanaa hio.
Bado mchana sijala, usiku bado ,bado kuna mpira jioni Man Utd inabidi nikaangalie (hapa inabidi niwe natumia mo energy ya barid nikiwa naangalia mpira hakuna namna )
Aisee inabidi leo nisimpigie demu wangu simu kabisa, asije nipiga mwiba mwingine!
Nilikuwa nimejiwekea kwa siku nisitumie zaidi ya 5000/= ndan ya uchumi huu wa magufuli(kazi za kuunga unga) naona mipango inafeli kabisa
Uzi tayar
Daaah kwel uvhumi Wa Kati umekua mgum sanaDaaa
Sijui ni anasa
Nimekula supu ya 3000/= bakuri kubwa kabisa, chapati 3(900/=)
Tamaa zikaja, nikaagiza juice ya matunda ya baridi hapa 1,000/= maji ya baridi 1,000/=
Nikanunua vocha ya 1000/=
Daa nimerudia matumizi yote sijaona nilipokosea kabisa, ila hela kubwa sanaa hio.
Bado mchana sijala, usiku bado, bado kuna mpira jioni Man Utd inabidi nikaangalie (hapa inabidi niwe natumia mo energy ya baridi nikiwa naangalia mpira hakuna namna)
Aisee inabidi leo nisimpigie demu wangu simu kabisa, asije nipiga mwiba mwingine!
Nilikuwa nimejiwekea kwa siku nisitumie zaidi ya 5000/= ndani ya uchumi huu wa Magufuli(kazi za kuunga unga) naona mipango inafeli kabisa
Uzi tayar
KabisaNunua fungu la viazi vitamu na mchicha, ukichemsha mchana unaweza kupita kwa 3,000.
Hilo fungu la viazi vitamu la alfu mnaweza kula watu watatu na vibaki vya kesho. Tatizo vinakinahi ajabuNunua fungu la viazi vitamu na mchicha, ukichemsha mchana unaweza kupita kwa 3,000.
Kaizidi kamba ndio maana kaja kufungua uziUmekula urefu wa kamba yako
Dah.bado pale pale tu.....mkuu huko kuna mawigi..vipodozi...vikoba.....nk nkUngekua na mke hiyo hela mngekula kuanzia asubuhi mpaka usiku. Acha kula magengeni oa mke angenunua nusu kilo ya nyama ingekula supu mchana mpunga kitenesi usiku pilau la kizushi
Mabachela mnafeli sana
Usipokula maisha yatakukula wewe.. unataka ukifa wale funza wakale nini sasa ndugu..?
Chini ya USD 1 kwa siku.Hivi pato wastani la mtanzania ni kiasi gani kwa siku???
Dkt. Magufuli piga kazi sasa, Wapinzani wameshachanganyikiwa tunataka maendeleo
Mh Dkt. Magufuli hongera kwa ushindi mnono kwa asilimia kubwa kabisa, haijawahi kutokea na haitakuja kutokea. Mkuu piga kazi, wapinzani wameshapoteana, ndio walikuwa kikwazo kwako na majimbo yote uliyosema utapeleka maendeleo wakiwatoa wapinzani nadhani wamekuletea unaowataka, sasa wanasubili...www.jamiiforums.com
Ukiachana na umaskini ,technology pia ni kitu cha kuogopa sana,,asante mjumbeDkt. Magufuli piga kazi sasa, Wapinzani wameshachanganyikiwa tunataka maendeleo
Mh Dkt. Magufuli hongera kwa ushindi mnono kwa asilimia kubwa kabisa, haijawahi kutokea na haitakuja kutokea. Mkuu piga kazi, wapinzani wameshapoteana, ndio walikuwa kikwazo kwako na majimbo yote uliyosema utapeleka maendeleo wakiwatoa wapinzani nadhani wamekuletea unaowataka, sasa wanasubili...www.jamiiforums.com
Matunda muhimu mkuu "Eat more"Ngoja nikupe ujanja supu ya 1000, chapati 2 ni 500, juice ni 500, maji watakupa hapo hapo mgahawani yale ya kwenye tule tuglasi twa bati, mchana ugali dagaa na maharage na mboga mboga ni 1000, usiku wali 1500 kwa hiyo jumla 4,500/