Aisee! Kumbe Dar kuna matajiri mashoga

Aisee! Kumbe Dar kuna matajiri mashoga

those guys are very trick,lilinikuta nikiwa mbele nilikutana na mkenya nikajua home boy
duuuuu,financially alikuwa vizuri sana kijana mdogo kumliki BMW si mchezo
 
those guys are very trick,lilinikuta nikiwa mbele nilikutana na mkenya nikajua home boy
duuuuu,financially alikuwa vizuri sana kijana mdogo kumliki BMW si mchezo
ulitoka salama mkuu? teh teh
 
kwangu tu sichojoi kizembe naakikisha hakuna vilipuzi teh teh

Tena mtu avue nguo ofisini, hiyo ofisi alikua peke yake, hakuna huduma zinazoendelea? Ina maana alishindwa pesa ya guest wakati umesema ni tajiri. Napata maswali mengi kuliko majibu. Haya mambo yanafanyika lakini si kwa kiwango alichozungumza mleta mada. Tena mtu ana pesa zake akupe wewe Laki 5 wakati kuna vijana wanatafuta 20000 anamaliza kazi. Dogo katupikia Milo kabisa hii
 
ungempakua tu akakupa hiyo mihera mtaani pagumu arafu mtu ajipendekeze na hela haaaaa haaaaa duuuuh!
 
mwe..pole..kama yumo humu kashakujua, atakuPM sasa hviii
 
Huu uandishi...nakubaliana nao nikifumba macho, nikifumbua tu naona kamba za hatari...things have been easy as you are describing,
 
Hawa watu wapo na wanakuwaga na mihemko ya juu sana..kuna mmoja nilikuwa nae ofisi moja alikuwa hachagui mpaka walinzi na wapiga debe. Mungu atuepushie kwakweli...msidharau kabisa hii thread hawa jamaa wakipata hamu hawana haya kabisa.



Koma kabisa, una dhani kwanini hawachagui?Sababu kubwa ni kwamba hawana choice, huwezi tongoza yoyote na ukitongoza yoyote humpati yyule wa choice yako, matokeo yake una lala na yoyote mradi kupunguza nyege. Lakini ingekua ni rahisi isingekua ku lala na yoyote.
 
duh sijui malezi au mazingira yanachangia halafu watoto wa kishua tu ndo wanakua na tabia hizi mtoto wa maisha ya kudanki kama yangu huwezi kuwa shoga

Mshamba wewe, kwa kukupa taarifa hakuna wagumu kufanya haya kama watoto wa kishua, wachache sana wa kishua wako humo
 
mkuu nafikiri mada hukuielewa vizuri, ofisi kwanza ni ya kwake, yeye ndo miliki wa kampuni na ndani ya ofisi yeye kama bosi hukaa peke yake, na kama unavyojua mabosi wengi wakiwa ofisin, mtu huwezi kuingia moja kwa moja ofisin kwake bila kuonana na wafanya kazi wake wa chini, na sisi tulipofika hatukuingia ndan moja kwa moja, secretary wake alimpigia simu bosi-shoga ndo akaturuhusu tukaingia ndo tukamkuta kajimwaga vile na kwasababu alijua kuwa sisi ndo tunaingia nahisi alivua nguo haraka haraka akizani atafanikiwa upuuzii wake,. Na suala la pesa hukunielewa,,! Nilisema baada ya sisi kukataa kufanya ufirauni ule akawa anatubembeleza ana sema atatupa laki tano kila mtu ili kwa mantiki hiyo tuwe tunamfir* kila akitaka, pesa hatukuchukua siku hiyo, ila baada ya kufika nyumban akatuma laki mbili na 20 tigo pesa ili tugawane, na mimi bila kuchelewa nikampigia simu nikamwambia hatuna haja na pesa yake na tukamrudishia sasa akawa anang'ang'aniza ndo maana nikaamua kubadili namba ili kuepuka na huu upumbavu.Nafikiri umenielewa.

Yaani umekutana na mtu hamjuani theni anakupa nauli ya boda boda unapokea. Then unapigiwa sim uende kazini kwake na unakwenda? Ulitegemea atakupa nini tena? Hapo jibu lilikua wazi ukampe u akakupe? Dalili zote Alikuonyesha toka mwanzo
 
Back
Top Bottom